Kuna chuo au sehemu yoyote inayofundusha Computer Programming kwa hapa DSM?

Kuna chuo au sehemu yoyote inayofundusha Computer Programming kwa hapa DSM?

SwahiliFlirt

Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
40
Reaction score
30
Kwa mwenye kujua wakuu naomba anisaidie kama kuna chuo au sehemu yyt Dar inayotoa mafunzo ya computer language programming tuu Kama ni C# Java Python PhP etc
Note: najua kuna tutorials YouTube Lynda udemy tutplus na kwingineko ila dogo anataka darasa au yyt ambaye yupo nondo kumpa Mwanga wa programming. Tufahamishane na Bei pia itakua vyema zaidi
 
Kwa mwenye kujua wakuu naomba anisaidie kama kuna chuo au sehemu yyt Dar inayotoa mafunzo ya computer language programming tuu Kama ni C# Java Python PhP etc
Note: najua kuna tutorials YouTube Lynda udemy tutplus na kwingineko ila dogo anataka darasa au yyt ambaye yupo nondo kumpa Mwanga wa programming. Tufahamishane na Bei pia itakua vyema zaidi
DIT huwa wanatoa short course,na hivi karibuni nilisikia kuna short course zinaanza ila sina info kamili,ngoja ntauliza fresh nikupe info kamili.
Kwani dogo shida yake nini hasa,Mbna online tutorials zipo nondo tu,au anataka one to one tutor?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom