Tuendelee na maujanaja namba 3 wa makomyuta na masoftware na mengineyo kama ifuatavyo:
1. Kutumia trial version software Forever!!
Ujue sofware nyingi ni za kununua na kama huna fedha basi...
Ninahitaji kutengeza mobile app itakayokuwa inaonesha cell stats (signal strength, download speed, upload speed, n.k)
Kuna hii app ya G-NET Track inaonesha vitu kibao.
Kwa wale wenye experience...
Wakuu mm natumia simu ya samsung galaxy j1 ace, simu ina uwezo wa 4gb na nina memory card ya 4gb sasa simu imejaa "memory full" na memory ipo tupu kila nikitaka nitumie memory card yani vitu vyote...
Wakati ninajisajili kwenye time zone nikawa natafuta Dar es Salaam. Bahati nimeona UTC +3:00 ila ina Nairobi, Bagdad n.k. na kuisahau Dar es Salaam, kitu ambacho tumekizoea katika mitandao ya nje...
Habrari wadau, nina tatizo na simu ya Nokia ya tochi model namba 105. Ni kwamba simu hii inaniomba pin code wakati wa kuiwasha wakati sijawahi kuset pin kwenye simu. Nimejaribu kuweka namba 12345...
Ninakaa Dar es Salaam kama Wengi walivyo na habari kuwa Smart has lunched 4G services in Dar es Salaam but most anoying Smart hawakua na hata 3G Nimeona katika mitandao mingine kama simu yako hai...
Kama nilivyosema hapo juu, nnatatizo kwenye simu yangu inaonyesha imejaa internal memory nikadelete videos na mapicha hadi kubaki MB 102 lakini bado inanisumbua nikifungua mitandao, kimeseji cha...
Habari wakuu,
mie sio mzoefu wa mambo ya solar ila nina air condition (LG spilt BSA12IMA) nataka litumie umeme solar..
je nahitajika solar panel za aina zipi?
Ahsanteni.
I have a project due 7th march 2016. I have to create an Atm script with three users with their different data and password. If you have idea please help. thank you for reading.
http://www.vidmate.mobi/landing?p=MTc1OTk2MzIw Top 10 Upcoming PC Games of 2016 | HD | The top video downloader, Vidmate! Highly recommend! Click to get your favorite videos!
Habari wanajukwaa naombeni mnisaidie jinsi ya kutambua cpu ambayo ina processor 2... Nataka ninunue cpu peke yake yenye processor 2 lakin sina utaalamu wa kutambua cpu yenye processor 1 inakuaje...
Apple has taken new measures in order to protect the user’s security which will make difficult for the government to hack into the locked iPhone using various techniques. FBI has been demanding...