Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nahitaji simu ya huawei na teckno smartphones .mwenye nayo anicheki kwa namba hii now. 0673265113
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwanini nilipo install w7 nikifungua inafunguka na nikiangalia inasoma normal mode kama safe mode kwa wajua hili msaada please
0 Reactions
5 Replies
920 Views
Window 7 kuchelewa kurespond na inasema window hairespond unapoxhagua some program msaada ?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nahitaji laptop kwa ajili ya matumizi ya shule. Nafahamu kua zipo laptop mpaka za million lakini uwezo wa bajeti yangu ni 200000-270000Tsh . Napatikana Tanga, contact number 0769686826 or...
0 Reactions
0 Replies
748 Views
Kwa anaye fahamu jinsi ya kujiunga kifurushi cha chuo....(universty offer) kwa Airtel anisaidie pliz
0 Reactions
2 Replies
894 Views
Wakuu habari naombeni msaada kuusu whatsapp inashindwa kuonesha majina inaniandikia whatsapp is denied to read contact.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Msaada kwa wale wataalam wa IT na internet. Katika email yangu ninasumbuliwa sana na hizi msg ikionyesha kuna mtu maeneo mbalimbali ya dunia mfano mexico, cambodia, brazil, slovakia argentina na...
1 Reactions
6 Replies
827 Views
Huduma ya WhatsApp haitatumika tena katika simu zinazotumia mifumo kadha ya programu ikiwemo Blackberry 10, Nokia Symbian S60 na Windows Phone 7.1. Kampuni ya Facebook inayomiliki huduma hiyo...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimedownload game kwenye torrent mpaka likafika 100% baada ya hapo naona imeganda huku imeandika seeding maana yake ni nini nimesubir had bas hata sielewi msaada jamani!!
1 Reactions
3 Replies
3K Views
msaada wakuu hivi mashine za ku-print t-shirt zinapatikana wapi na bei yake ni sh. ngapi? nahitaji kununua ...!!!! natanguliza shukrani........!!!!!!!
0 Reactions
13 Replies
13K Views
Napenda kufahamu kama naweza kupata decoder ya azamtv japo sijawahi itumia?
0 Reactions
2 Replies
917 Views
Habari jf, leo nimenunua vocha tunnel guru lakin tatizo likaja wakat wa kujaza details kama web host, proxy url na zingine, naomba kunijuza japo kdg nipate mwangaza. Ahsante. Njunwa naomba mchango...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu Nahitaji kununua sim aina ya alcatel one touch kwa anaeifahamu vizuri anaweza kunipa matatizo yake
0 Reactions
0 Replies
552 Views
Tatzo litakua ni nini?! HDD au window pleas
0 Reactions
3 Replies
1K Views
namna gani naweza kuipata, tafadhali
0 Reactions
2 Replies
870 Views
Walimu wamelalamika kuhusu "Saa za chabo" zinazouzwa kwenye mitandao zinazowasaidia wanafunzi kuibia kwenye mitihani. Saa hizi za kidijitali, zina "kitufe cha dharura" ambacho ukibonyeza haraka...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Window 7 Window 8 Window 8.1 Window 10 Yaan nipo dilemma sijui nipige window ipi? Kati ya hizo shapiga 8.1 , 8 ila 10 na 7 sijapiga please wadau mawazo yenu ni muhimu sana kwangu.
0 Reactions
35 Replies
7K Views
Naomba mnijuze jinsi ya kuchukia screen short kwa simu ya tecno S5.
0 Reactions
1 Replies
897 Views
Wakuu naomba msaada wa jinsi ya kujiunga na matangazo ya Google kwa njia ya Adsense kwenye blog yangu
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Blog yangu inakuwa disapproved bcz mwanzo nilikuwa natumia kiswahili sasa naomba kama kuna mtaalamu anipe ujuzi wa jinsi gani naweza kuwa approved au kulipia huo ujuzi kama upo wa kuwezesha...
1 Reactions
5 Replies
850 Views
Back
Top Bottom