Registration: Dar haipo kwenye Time zone

Registration: Dar haipo kwenye Time zone

Ozzanne Issakwisa

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2016
Posts
288
Reaction score
241
Wakati ninajisajili kwenye time zone nikawa natafuta Dar es Salaam. Bahati nimeona UTC +3:00 ila ina Nairobi, Bagdad n.k. na kuisahau Dar es Salaam, kitu ambacho tumekizoea katika mitandao ya nje. Kulikoni hata sisi watanzania kusahau mji wetu?
 
Back
Top Bottom