Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu naomba msaada wa jinsi ya kujiunga na matangazo ya Google kwa njia ya Adsense kwenye blog yangu
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Blog yangu inakuwa disapproved bcz mwanzo nilikuwa natumia kiswahili sasa naomba kama kuna mtaalamu anipe ujuzi wa jinsi gani naweza kuwa approved au kulipia huo ujuzi kama upo wa kuwezesha...
1 Reactions
5 Replies
850 Views
Cmu yangu ya tecno c5 ambayo bado mpya kila nikizima halafu kuiwasha baada ya masaa kadhaa inaniambia battery low tena hukataa kuwaka mpaka niiweke kwenye charge naombeni msaada wakuu tatizo nn hapo
0 Reactions
5 Replies
952 Views
Habari wakuu, Nimeonelea kuwa ni vema kuuanzisha uzi huu ili wale wote wapendao kujifunza au wafanyao shughuli mbalimbali za kielektroniki kama vile uundaji wa inverter, amplifiers, preamps...
0 Reactions
1 Replies
980 Views
Ni application gani nzuri na rahisi kutumia kupangilia fifa 14 ut kwenye Android yangu?
0 Reactions
0 Replies
737 Views
Nipo dar kwa sasa, nina hitaji solar panel pamoja na power bank kwa ajiri ya matumizi ya nyumbani. Km kuna mtu anaweza kusaidia upatikanaji wake tafadhari naomba msaada.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Je ungependa kuangalia mipira la ligi ya uingereza,Uefa,movie,sports zote and all entertainment just go to http://www.firstrowsports.eu/ Prove for yourself
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu, Naomba msaada, jinsi gani naweza kupata channel za FTA kwenye decoder ya Azam? Kama haiwezekani nifanye je ili kupata hizo channel?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau nimekua nikinunua Sabufa hizi za wachina lakini kinanchonishangaza haziwezi kuhimili sauti inayotoka kwenye PC hususa ni Media play ya VLC mimi ni muumini wa Sauti Kubwa nimeshangaa hizi...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
habari zenu wanajamvi natumai muwazima wote jamani mimi ninatatizo katika simu yangu aina ya tecno c8 tatizo lenyewe nikwamba ninapo mpigia simu mtu akipokea tunaongea vizuri tu shida inakuja pale...
0 Reactions
0 Replies
703 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojileza hapo juu COREi7 PROCESSOR 3.34GHZ RAM 6GB HDD 500GB nahitaji kubadilisha GPU coz most of game ambazo Nazi install zinaniletea ujumbe your VRAM is too low...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hey fellas, Check out this article. It has helped a person like understand why my smartphone(huawei y530). Runs out of battery charge when i'm using it. I think it may interest you. Click the...
0 Reactions
0 Replies
710 Views
Wadau naomba kufahamu umuhimu wa hii app adb toggle
0 Reactions
0 Replies
677 Views
Nina pc ambya ni intel hd graphics processor yake core i7 HD graphics sasa kuna jamaa kaniuzia PC ambayo battries imekufa mouse yake mbovu baadhi ya keyboard hazifanyi kazi almost zoote ila...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wadau je Kuna njia yoyote kwa android kudownload online videos kwamfano zile fb's feeds??
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari Jf Naomba kujua namna ya kubadili storage kwenye simu yangu toka internal storage kwenda extenal storage (SD card).
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Wakuu naomba mwenye kujua topics za pre entry course ngazi ya diploma ktk hizi technical college haswa Must and Atc zipo vipi katika soma la Physcis na mathematics topics ni zipi wakuu?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
JANA NILIPOST JINSI YA KU-unlock MODEM LAKINI NI MTU MMOJA TU ALITAKA MSAADA WANGU,NAWEZA KUFUNGUA MODEM YA VODACOM NA IKATUMIA LINE YOYOTE WEWE NITUMIE AINA YA MODEM YAKO PAMOJA NA IMEI{Namba...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Laptop yangu ina spec zifuatazo:- Dell Precision Mobile Workstation M4600 - 15.6" - Core i7 2820QM - Win 7 Pro 64-bit - 4 GB RAM - 750 GB HDD Kitu gani niongeze kiweze kuboost rendering &...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu kila nikiingia kwenye mtandao wa Instagram, kifurushi cha internet (MB) kinaisha haraka tofauti na nikiingia kwenye mitandao mingine kama vile Facebook, JF, Watsapp n.k. Je, kuna namna ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom