Habari wakuu.
Kugawana ni kujali.
Ofisi nyingi huwa na data kwenye excell wanahitaji wahamishie kwenye other program ikiwemo tally, vip payroll na pastel.leo nitawafunza.
1. Fungua program eneo la...
Wizara ya Sheria ya Marekani inasema
imefanikiwa kuzisoma data zilizohifadhiwa
kwenye Simu ya iPhone mali ya mmoja wa
walipuaji katika tukio la mauaji la San
Bernardino na kutangaza kuacha mpango...
Nilitaka kuinstall App mpya kwenye simu yangu ila kila nikijaribu inaniandikia "insufficient storage" nikajaribu kufuta App moja nikajaribu kuinstall tena ikagoma. Nikafuta nyingine bado ikagoma...
Instagram rolls out 60-second videos starting Tue 29 Mar..Instagram announced on Tuesday that it will soon begin rolling out 60-second video capabilities for its users.
Wakuu habari za saiz juzi kuna mzigo wa simu umetumwa toka nje kuna wateja wawili wamezingua mmoja ni Sony Xperia z2 mwingine Samsung Galaxy A5. Kati ya simu zote hizo ipi ni bora nimpe mdogo...
Tatizo hili limetokana na kusafirisha hii monitor kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine sasa nadhan ile mitikisiko ya basi tulilokuwa tunasafiria imesababisha kioo cha hii monitor kucrack hadi wino...
Jamani hizi ni aina ya simu makapuni mawili tofauti, kwa anaezifahamu simu gani bora zaidi
katika yafuatayo
>uimara wa simu katika matengenezo
>ubora wa camera
>storage ya simu
>ukaaji wa chaji...
Wadau nimebahatika kusoma short course ya winserver 2003 kama miaka 3 iliyopita,sasa kutokana na nature ya kazi yangu sikuwahi kupata wasaa wa kwenda field au mazoezi yoyote ya jinsi ya...
Wadau naombeni msaada wenu ,yeyote mwenye uelewa namna ya kuinstall Open source library system (Koha) kwenye Ubuntu ,nimejaribu but am ending somewhere.
1.una weza set secret chat ambayo msg zinajifuta with in 9 sec
2. Una weza set password kitu ambacho whatsapp huwez
3. Can't be hacked mpaka sasa hivi hakuna mtu aliweza ku hack
3.una weza ku weka...
Microsoft walizindua akaunti ya Twitter kwaajiri ya roboti yao inayojulikana kama Tay ambayo inatumia artificial intelligence kujibu tweets na kujichanganya na vijana, lakini masaa machache baada...
Natumia FileSystemWatcher kwenye asp.net web application ku monitor changes zote zinazotokea kwenye folder "c:\MyDir".
Implementation
1. Nime create class MonitorDirectory ,
ina static method...
Security,
very important! but how many developers do consider security threats at early stages? I once read somewhere, it 10x expensive to 'retrofit' security than to design at the beginning...
wakuu, heri ya pasaka.
nilinunua simu aina ya Iphone 4s ila siku delete icloud account iliyokuwepo, nimerestore simu sasa inahitaji apple ID na password. Tatizo simu ni second hand na aliyeniuzia...