Sitachoka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 3,030
- 1,306
Jamani hizi ni aina ya simu makapuni mawili tofauti, kwa anaezifahamu simu gani bora zaidi
katika yafuatayo
>uimara wa simu katika matengenezo
>ubora wa camera
>storage ya simu
>ukaaji wa chaji
>ubora wa kasi wa internet
>mwonekano mzuri
wataalamu karibuni
cc: Chief-Mkwawa na wengine
katika yafuatayo
>uimara wa simu katika matengenezo
>ubora wa camera
>storage ya simu
>ukaaji wa chaji
>ubora wa kasi wa internet
>mwonekano mzuri
wataalamu karibuni
cc: Chief-Mkwawa na wengine