Mahakama ya Kikatiba nchini Afrika Kusini imeiamuru kampuni ya mawasiliano ya Vodacom kumlipa mwanamume aliyebuni wazo la kutuma ujumbe wa kumuomba apigiwe simu.
Gazeti la Sowetan la Afrika...
Habari wana jf, ivi tecno boom j8, ina 4g na kama ipo unajiungaje , cm yangu ni tecno boom j8 nataka kujiunga na 4g maana huku nilipo 4g ipo msaada mwenye kujua
Naomba ushauri ni laptop gani niweze nunua ambayo haitanipa shida sana, nilikuwa nafikiria kununua hp envy ya inch 15.6 ila sijawa na uhakika kama ni nzuri, bajeti isizid 1M. Naomba ushauri
Habari wana jf naoba mnisaidie mwenye kujua nina cd zangu naipenda sana ila zinascrach sana naomba mwenyekujua jinsi ya kuzihuisha ili zirudi kama zamani zioneshe viuri ama nifanyeje.
Mambo mengi sana yamebadilika toka mwaka 2007 ambapo kampuni la Apple lilizindua simu janja yake ya kwanza katika mtiririko wako wa iPhone. Simu hii ililibadilisha kampuni na soko la simu janja...
Multiple user profiles (on unlimited devices)
3 session channels
Unlimited endpoints
Management Console (enterprise features)
Manage up to 1000 unattended devices
Support for mobile devices
Mass...
Ni apk gani naweza kuituma kutuma sms alafu mpokeaji aone tu jina na sio namba ya mtumaji.
kwa mfano sms ya kuvetify whatsapp ikija huwa inakuja na jina Whatsapp, PANA etc
jaman habarin
baada ya huu wimbo kusikia umefungiwa nnashauku ya kujua yaliyomo, sasa ikawa mbiombio youtube kufika kule nliyokutana nayo sasa[/IMG]
sasa naombeni msaada kama wana tech...
Naomba wenye ujuzi mnisaidie.
Attackers might be trying to steal your information from www.google.com(eg paswords,messages or credit cards.
Mnisaidie wakuu ni siku ya tatu sasa sometimes...
In April, Huawei has globally unveiled the much-awaited in its Iconic P Series, the Huawei P9.. Presenting a new extension of its flagship P series, the new Huawei P9 braces Huawei’s forefront of...
Simu yangu internal memory inaniambia imejaa wakat nimefuta vitu vingi tu na hata nikifuta badala ya kuongezeka ndio inazidi kupungua space kwa mfsno kama sasa hiv kuna empty space 350mb ila kuna...
na tatzo hapa nina simu tecno p5 ina tatzo moja yan nashindwa kuelewa kabisa naireset ila wap yaan inaleta vitu via ajabu ajabu tu mara ijiwashe data connection mara idownload apps ambazo hata...
Nina tatizo la laptop , baada ya kuiscan nikairestart sasa ikimaliza kurestart inashindwa kudesplay inaleta meseji hii
RuDLL
The specific module couldn't found...
Habari wakuu..
Kusema kweli natanguliza shukrani za dhati kwa huu uzi kwa kuwa..
Nimeweza kuangalia tv nyingi kwenye simu yangu..
Pia nimeweza kuroot simu yangu saiv nainjoy vitu vingi...