Msaada Naomba

Msaada Naomba

Marco Polo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
13,334
Reaction score
21,206
Simu yangu internal memory inaniambia imejaa wakat nimefuta vitu vingi tu na hata nikifuta badala ya kuongezeka ndio inazidi kupungua space kwa mfsno kama sasa hiv kuna empty space 350mb ila kuna ma file nikifungua naambiwa not enough space....natumia tecno h6...
 
Hii kitu inanitesa mm pia ngoja waje wajuzi
 
Back
Top Bottom