Wakuu nna tatizo ila sijajua lipo kwenye laptop au charger yake? Niki chomeka adapter taa yake inawaka ila kwenye laptop haionyeshi kuwa ina ingiza.
Nime jaribu kutoa betri nakuchomeka direct...
Wakuu kwema? Nilikuwa nahangaika kuroot simu yangu C8, nimepata maelezo kutoka link flani. Unaweza kuroot bila kutumia PC na ni very simple. Fuata tu maelekezo kwenye hii link/Web address.
Tecno...
Habari ndugu wana Jf,
simu yangu iphone 4s imetumbukia ndani ya maji kwa muda wa kama sekunde 5 hivi nikafanikiwa kuitoa na kwa bahati nzuri ikaendelea kupiga kazi kama kawa ila tatizo ni kwamba...
habarini za muda huu wadau..
Nina shida nimekumbana nayo kuhusu upatikanaji Wa files mbalimbali nilizozihifadhi katika cloud storage. Kila nikiingia kwenye email yangu kuangalia nilichokiifadhi i...
Laptop yangu ishawah kuungua kitu flan ndan nikapeleka kwa fundi akabadilisha akarudisha. Imerudi ina tatizo la mouse ina stuck. Unapowasha mara ya kwanza inafanya kazi kidogo then ina stuck mpaka...
Habari za humu ndugu zangu
Ipo hivi nina simu yangu ambayo ni TECNO F5 ambayo nilipenda sana nitumie huduma ya 4G katika setting zangu ina Sehemu imeandikwa LTE ambayo ni 4G sasa tatizo lipo...
Laptop yangu ishawah kuungua kitu flan ndan nikapeleka kwa fundi akabadilisha akarudisha. Imerudi ina tatizo la mouse ina stuck. Unapowasha mara ya kwanza inafanya kazi kidogo then ina stuck mpaka...
Wadau heshima kwenu.kuna simu nikiweka laini ya halotel mtandao unasoma lakini internet connection haisomi.Litakua tatzo ni nini make laini hiyo hyo nikiweka kwema kwenye simu nyingine internet...
Wakuu Nina Samsung Yangu Mpya Galaxy J5. Kiukweli Inatunza Chaji Pale Ambapo Huitumii Ila Ukianza Kuigusa Basi Unaona % Za Chaji Zinavyoshuka.
Kwa Wenye Kujua App Gani Nzuri Ya Kutumia Ili...
Habar zxaiv wakuu tatizo ni ili kila ninapo ingia fb, Nikisha log in ina andika security na chini panakua na submit nime change password kama mara hamsini ivii... bado tatizo nilile lile
Nina vodafone 785, ilikuwa inafanya kazi vizuri sana lakini kuna siku niliconnect na desktop yangu nikaletewa ujumbe format phone memory bila ajizi mzee nikaiformat lahaula!!!! nilivyodisconect na...