Msaada akaunti yangu ya facebook imekuwa hacked

Msaada akaunti yangu ya facebook imekuwa hacked

Mr IQ

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2015
Posts
1,115
Reaction score
1,549
Habar zxaiv wakuu tatizo ni ili kila ninapo ingia fb, Nikisha log in ina andika security na chini panakua na submit nime change password kama mara hamsini ivii... bado tatizo nilile lile
 
Habar zxaiv wakuu tatizo ni ili kila ninapo ingia fb, Nikisha log in ina andika security na chini panakua na submit nime change password kama mara hamsini ivii... bado tatizo nilile lile

Unatumia kifaa gani?
Hakikisha saa na tarehe vipo sawa. Hakikisha unatumia latest browser
 
Back
Top Bottom