Kuna jamaa hua wananitumiatumia code zao humu jf nazicheki sasa nimekutana na hili tatizo many times sijui kwa nini.
Em angalia hizi for loops mbili, zote zinafanya kazi moja ila jaribu kuniambia...
Ni siku kadhaa sasa najaribu kutoa kiasi cha pesa kutoka akaunti yangu ya crdb bila mafanikio nimejaribu kutoa kupitia mpesa na fahari huduma kupitia simbanking bila mafanikio ,ninafika had kwny...
Nimejaribu kujisajili kwa Google Adsense ila wamegoma kwa sababu ya lugha pamoja na na post zangu zina picha nyingi.
Nifanye nn ili niweze kuweka Adsense kwenye blog ya Kiswahili?
Hello Friends,
Convert Ur Android Phone Into ATM [emoji298]Great news!!!
Now u can do big - Hello friends...Great news!!! Earnings thru ur mobile...
Your mobile can gives you different types of...
Habari wakuu,
Kwanza nifanye declaration kuwa mimi sina utaalamu sana kwenye mambo ya networking. Ninafungua ka ofisi kadogo ila nimetengeneza rough diagram lakini naomba ushauri kama ni kitu...
Sijajua inakuajekuaje lakini tangu waanzishe hii kitu ikifika hiyo mida ya saa sita huwa natumia youtube, playstore, na naperuzi website yoyote na kudownload kupitia browser ya chrome na...
Wadau angalieni ujumbe huu chini hapa.
May the peace of God be with you and your family!!
I want to inform you that your bank draft cheque of 300,000 dollar is now with United Bank for Africa...
Salaam,
Ni email account yangu ya muda mrefu sana, sija log in kwa miezi kadhaa, sasa kuna document muhimu nataka kuifoward mahali naambiwa haitambuliki... msaada tafadhali. Nimejaribu kucheki...
Betri inapobaki asilimia ngapi ya chaji inafaa kuchajiwa tena?
Mwendo kasi wa kuchaji simu ya mkononi unabadilikabadilika. Baadhi ya wakati unaichaji simu yako kwa muda mfupi lakini inaweza...
Habarii za asubhii wadau.....shida yangu ni naweza pataje apps ambazo play store lazma ulipie ila kwa free bila kulipia.....njia gani naweza tumia kuzipta.....
Salam wakuu,
Habari za asubuhi?
Natumaini kwema wakuu. Ningependa kushare site ya kudownload mp4 mobile movies japo ziko nyingi Ila personally naikubali sana hii.
As you know wakuu sisi...
Nahitaji PeopleSoft FSCM kwa ajili ya kujifunzia, ningependa kupata zile VM images zinazotolewa na Oracle kwenye site yao (Hakan Biroglu: Installing PeopleSoft 9.2 pre-build virtual machine), sema...
Habari!
Wakuu naombeni msaada wenu.
Mimi natumia decoder ya x master q16.
Sasa kwa sasa software yake imekwisha muda wake...sasa je naweza elekezwa jinsi ya kuidownload update software na kisha...
natumaini wote salama..
wakuu naomba msaada natafuta mtu ana provide server channel za iptv hasa chanel za bongo ndio muhim kwangu / sitaki application za bure wala links za bure nataka mtu anatoa...
habari wakuu,
juzi nilijaza wino kwenye printer yangu ya epson l800 lakin ghafka ikaanza kutoa picha za kufifia na hainipi meseji yoyote kama kuna tatizo.
naomba ushauri wa nini nifanye.