Habari wadau?
Nina Laptop yangu ambayo nilikuwa naitumia kwa shughuli mbalimbali nashangaa kwa sasa imegoma kupata internet japo nikiunganisha modem inaconnect vizuri na speed inakuwa poa tu...
Habari wadau?
Simu yangu ya LG inakataa kuchaji mpaka niizime ndo inachaji.
Je ushawahi kukutana na tatizo hilo au una experience yoyote kuhsu hilo? Naomba msaada wadau nilitatueje.
Habari za jioni wakuu, natumia HTC one m7 lakini tangu juzi simu yangu imekuwa kwenye mode ya limited services so siwezi kupiga simu wala kutuma meseji, lakini cha ajabu matumizi mengine ya data...
Na uhakika hakuna simu itakayozimwa Leo
Kuna simu original zina imei fake
Na kuna simu fake zina imei original
HII PROGRAM ILIANZA KENYA ....ILISHINDIKANA MPAKA KESHO WAKENYA WANADUNDA NA SIMU...
Ndugu wanajamvi
Nilidownload adobe photoshop CC sasa lakini nime experience matatizo mawili ambayo naomba msaada kwa wanaofahamu zaidi.
1.Adobe photoshop 3d haifanyi kazi. Kazi zote nafanya...
Hellow there,
Am a developer I came up with the webapp idea which will kick down mkito and mdundo hence dominating the online artistic sales around the world.
Features of the webapp:
Allowing...
Leo katika pitapita zangu nkakutana na hizi simu..INFINITY SMARTPHONES..wenye kuzijua...kweli hizi simu sio za mwezi june...TCRA??
Je, vipi kuhusu ubora na uimara wake...??
Naomba kuwasilishaa
Nilinunu simu yangub aina ya Samsung s4 Marekani mwaka mmoja uliopita, ajabu nimegundua kuwa IMEI iliyopo nyuma ya simu, ni tofauti na ile ya ndani ambayo naipata baada ya kuingiza number *#06#...
Hii inatokea mara nyingi kila ninapompigia mtu ambaye hana salio hasa tigo kwenda tigo. Sababu ni nini wakati mimi ndie ninayepiga hasa kwa ndugu zangu wa kijijini? Mpaka nitume salio kidogo ndio...
ni baada ya kutuma IMEI ya simu yangu ya zamani MOTOROLA L6i , kwenda namba 15090.
Na majibu ni MOTOROLA LLC, LENOVO COMPANY,....kama nilivyoambatanisha, kwenye picha.
nimekua nikitamani sana kununua vitu ebay na amazon ila naingiwa na wasiwasi sana kuhusu usalama wa pesa zangu. nnimekua nikifatilia sana kupatana.com na hayo masoko hapo juu naingiwa na wasiwasi...