habari
jamani mimi natumia tecno n7 sas sielewi matumizi ya Wi-Fi na nikitaka kuitumia nafanya nini???? kiukweli i know nothing about it naiona tuuu ipo ila siielewi kabisaaaaa naomba...
Sasa waweza anzisha biashara yako ya Web Hosting kwa bei nafuu (Reseller Package).
Bronze Package (Tsh 200,000/mwaka)
--Unlimited Domains
--Unlimited mail account
--Reseller Account
--Daily...
Habar wana teknolojia naomba msaada PC yangu aina ya dell inspiron nikiwasha inapiga kelele kwa muda then ndo inawaka halafu pia ghafla namba nane ya keyboard haifanyi kazi jambo ambalo nashindwa...
Habari zenu wakuu.Ninayo heshima kwenu kupata ushauri mzuri wa kufahamu tofauti na ubora wa hizi simu.
Ushauri wenu utasaidia wengi kupata kifaa bora kwa matumizi hasa ya habari na mawasiliano...
Natafuta kioo cha hiyo simu hapa Bongo kwa nani nitakipata msaada tafadhari hata kwa ushauri! Hapa tanzania au hata nje ya nchi! Au kama kuna fundi anacho
Simu ni GENX MODEL GX7-3GS
wadau ninaomba kufahamu battery ya simu gani inayoweza kukaa kwenye tecno h6 na yenye mAh kuanzia 4000 na kuendelea au yenye uafadhari ukiweka kwenye h6
Join me in #AppMahal! Get it FREE on Google Play... Join me in #AppMahal! Get it FREE on Google Play...
Kwenye hii apps wanafanya mashindano na hutoa zawadi smartphone latest kwa kila wiki...
Hellow wadau blogger wenzangu nina kijiblog changu ambacho tayari nishakiwekea ADSENSE, but eanings ni ndogo sana, so naomba kunijuza nifanyaje ili earning iongezeke coz now sipati kitu cha...
INSTAGRAM IMEFIKISHA WATUMIAJI ZAIDI YA MILLIONI 500....
SOURCE: INSTAGRAM PAGE instagram
instagram:Today, we’re excited to announce our community has grown to more than 500 million Instagrammers...
Habari wana JF,
Naombeni kujua wastani wa bei ya DISH kwa ajili ya kingamuzi ambacho kinatoa free channels... Yaani sio cha kampuni fulani mfano starimes, azam etc...chenyewe kinahitaji dish...
instagramToday, we’re excited to announce our community has grown to more than 500 million Instagrammers — more than 300 million of whom use Instagram every single day.
Our community also...
Psychologically nimekuwa nikifaham kuwa bidhaa za LG hasa simu ni nzuri na hazina matatizo kwa mtumiaji. Ila kwa sasa naanza kupata ukakasi sasa baada ya kupitia post za baadhi ya member humu...