moderm yangu ya airtel E173u-1 wakati na unlock itumie laini zote cjui nimekosea nn baada ya hapo ikawa haisomi laini ya airtel na nyngn......naomba maelekezo please anayejua
Ulifannya backup ya qcn file kabla ya process zako? Na ulikua unaflash kwa njia ipi 1.huawei flashtool au 2.kwa firmware upgrade?? 3. Je ukiangalia kwenye devce info kwenye dashboard ya airtel wakati modem ipo connected imei unaiona ? Jibu hayo tupate pa kuanzia na tujue tunasolve vipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.