Naombeni msaada, Specification ya Computer yangu nzuri lakini ipo slow sana

mkweli wa mambo

JF-Expert Member
Oct 28, 2013
329
178
Wakuu nawasilimu sana na poleni na majukumu ya kila siku,

Naombeni msaada jamani laptop yangu ipo slow sana sijui ni kwanini, haijapita wiki mbili nimetoka kuweka window mpya, antvirus mpya tena ya mwaka mzima, nimeupdate kila kitu kinachotakiwa kuwa updated lakini bado ina mwendo wa kobe.

Specification zake ni nzuri ina RAM 4GB, Core i3 na processor pia iko fresh.

Sasa nipo kwenye giza sijui niifanyaje? nafikiria kuiuza ili ninunue yenye specification kubwa zaidi ya hapo, au kama kuna solution nyingine pllls naomba msaada wenu.
 
Wakuu nawasilimu sana na poleni na majukumu ya kila siku,

Naombeni msaada jamani laptop yangu ipo slow sana sijui ni kwanini, haijapita wiki mbili nimetoka kuweka window mpya, antvirus mpya tena ya mwaka mzima, nimeupdate kila kitu kinachotakiwa kuwa updated lakini bado ina mwendo wa kobe.

Specification zake ni nzuri ina RAM 4GB, Core i3 na processor pia iko fresh.

Sasa nipo kwenye giza sijui niifanyaje? nafikiria kuiuza ili ninunue yenye specification kubwa zaidi ya hapo, au kama kuna solution nyingine pllls naomba msaada wenu.
we!! umuuzie nani kimeo chako? sasa kama wewe umeiona slow ndo utakae muuzia ataiona faster.

Ngoja nikushauri,(1) kwa kuwa umesema uko kwenye giza, kwanza washa taa, kisha inawezekana hiyo lap yako sio slow ila wewe ndo uko faster zaidi.
(2) hujasema kuwa hiyo lap yako ni celeron au intel, pia hujasema umeweka window gani na antvirus gani pia, pia hujasema ni kitu gani ukifanya kwa hiyo lap yako ndo unaiona slow. pia hujasema kabla ya kuweka hiyo windows mpya ilikuwa ina behave ipi,.
 
we!! umuuzie nani kimeo chako? sasa kama wewe umeiona slow ndo utakae muuzia ataiona faster.

Ngoja nikushauri,(1) kwa kuwa umesema uko kwenye giza, kwanza washa taa, kisha inawezekana hiyo lap yako sio slow ila wewe ndo uko faster zaidi.
(2) hujasema kuwa hiyo lap yako ni celeron au intel, pia hujasema umeweka window gani na antvirus gani pia, pia hujasema ni kitu gani ukifanya kwa hiyo lap yako ndo unaiona slow. pia hujasema kabla ya kuweka hiyo windows mpya ilikuwa ina behave ipi,.
Duh...kazi kwelikweli..
embu kabla na imi sijasema lolote nisubiri majibu ya haya maswali uliyoulizwa kwanza maana yana determine usaidiwe vipi ukizingatia u slow wa pc unasababishwa na vitu vingi sana??
 
we!! umuuzie nani kimeo chako? sasa kama wewe umeiona slow ndo utakae muuzia ataiona faster.

Ngoja nikushauri,(1) kwa kuwa umesema uko kwenye giza, kwanza washa taa, kisha inawezekana hiyo lap yako sio slow ila wewe ndo uko faster zaidi.
(2) hujasema kuwa hiyo lap yako ni celeron au intel, pia hujasema umeweka window gani na antvirus gani pia, pia hujasema ni kitu gani ukifanya kwa hiyo lap yako ndo unaiona slow. pia hujasema kabla ya kuweka hiyo windows mpya ilikuwa ina behave ipi,.

Mkuu kwanza laptop yangu sio kimeo ni machine ya ukweli,laptop yangu ni intel,nimeweka window 7 profesional,antivirus ni AVG, nikiizima halafu nikaja kuiwasha tena pale ndo inakuwa slow,yaan uwa naiwasha halafu naenda kuoga kabisaa nikija ndo inakuwa tayari kwa matumizi,kinachonikera zaidi baada ya nusu saa kuitumia inaanza kuganda ganda hadi kero..
NB: Nimeinunua miezi 7 iliyopita, wakati nanunua ilikuwa fasta sana namatatizo yote haya hayakuwepo,ila yalipoanza tu kuna wadau walinishauri nibadili window nikafanya kama nilivyoshauriwa lakini likabakia palepale.
 
Mkuu kwanza laptop yangu sio kimeo ni machine ya ukweli,laptop yangu ni intel,nimeweka window 7 profesional,antivirus ni AVG, nikiizima halafu nikaja kuiwasha tena pale ndo inakuwa slow,yaan uwa naiwasha halafu naenda kuoga kabisaa nikija ndo inakuwa tayari kwa matumizi,kinachonikera zaidi baada ya nusu saa kuitumia inaanza kuganda ganda hadi kero..
NB: Nimeinunua miezi 7 iliyopita, wakati nanunua ilikuwa fasta sana namatatizo yote haya hayakuwepo,ila yalipoanza tu kuna wadau walinishauri nibadili window nikafanya kama nilivyoshauriwa lakini likabakia palepale.

kuna swali hukujibu, ilikuwa na windows gani before upgrade?
OK, Lets start. (1) Do you know how to check programs start when starting your computer? Disable all programs which are not necessary during booting up.
(2) Is there any rapidly change of temperature which is not normal?
(3) Make sure that only one antivirus is running in your computer.

Tuyaangalie haya machache kwanza.
 
kuna swali hukujibu, ilikuwa na windows gani before upgrade?
OK, Lets start. (1) Do you know how to check programs start when starting your computer? Disable all programs which are not necessary during booting up.
(2) Is there any rapidly change of temperature which is not normal?
(3) Make sure that only one antivirus is running in your computer.

Tuyaangalie haya machache kwanza.

nimeinunua ikiwa na window 7 pro na nikabadilisha kwa kuweka window 7 pro nyingine
1 .ilo la kudisable unnecessary program nalifanyaje? msaada tafadhali
2.temperature saivi inachemka sana tofauti na awali
3. antivirus niliyo install ni moja tu
 
Inaonesha kuwa wewe si fundi wa kompyuta. Kwa matokeo mazuri tafadhali peleka kwa qualified personel.
 
hiyo AVG-antvirus huwa ina tabia ya kuslow machine...ebu jaribu kuitoa na kuweka...ant-virus nyingine...kama 360 internet security...
Ila kama pia...fuata huo ushauri wa jamaa hapo juu..kuwa disable program ambazo zinatumia kiwango kikubwa cha RAM...na utakuwa unazistart manual...
Pia kama usiweke vitu ambavyo ni un-neccessary na kujaza hard disk yako mfano wa movie, series
 
nimeinunua ikiwa na window 7 pro na nikabadilisha kwa kuweka window 7 pro nyingine
1 .ilo la kudisable unnecessary program nalifanyaje? msaada tafadhali
2.temperature saivi inachemka sana tofauti na awali
3. antivirus niliyo install ni moja tu

Kutokana na majibu yako, inabidi hiyo computer kwenda kuangaliwa na qualified personnel. Inatakiwa ifanyiwe hardware troubleshooting kisha unaweza ongelea swala la software.
Watumiaji wengi wa Computer wamekuwa wakiharibu computer zao kwa kujaribu kufanya mambo yanayohusu weledi wa computer huku wao wakiwa ni normal users.
 
Wakuu nawasilimu sana na poleni na majukumu ya kila siku,

Naombeni msaada jamani laptop yangu ipo slow sana sijui ni kwanini, haijapita wiki mbili nimetoka kuweka window mpya, antvirus mpya tena ya mwaka mzima, nimeupdate kila kitu kinachotakiwa kuwa updated lakini bado ina mwendo wa kobe.

Specification zake ni nzuri ina RAM 4GB, Core i3 na processor pia iko fresh.

Sasa nipo kwenye giza sijui niifanyaje? nafikiria kuiuza ili ninunue yenye specification kubwa zaidi ya hapo, au kama kuna solution nyingine pllls naomba msaada wenu.

Ulijaribu kuifanyia "System Restore"?
 
Mmempa advice nyingi sana ambazo mpaka sasa hajazifanyia kazi zote kuangalia matokeo yake.
Mpeni mda acheki matokeo.
Cha msingi ni kufanyia kazi moja moja ili kuona kama matokeo chanya yanatokea.
Kila la kheri
 
Badili anti virus mkuu. AVG inasababishaga computer iwe nzito, jaribu avast ama kaspersky. pia angalia hard disk isiwe imejaa na kama imejaa hamisha hizo data kwenda sehem nyingine kama external hdd. pia hizo application software zikiwa nyingi hasa zile kubwa nazo zinasababisha computer kuwa nzito. Pia ukidownload vitu kwenye intanet, uwe unatumia secure website ambazo hazina malware, spyware na adware. Niishie hapo kwanza.
 
Umefanikiwa kutatua tatizo lako?

Wakuu nawasilimu sana na poleni na majukumu ya kila siku,

Naombeni msaada jamani laptop yangu ipo slow sana sijui ni kwanini, haijapita wiki mbili nimetoka kuweka window mpya, antvirus mpya tena ya mwaka mzima, nimeupdate kila kitu kinachotakiwa kuwa updated lakini bado ina mwendo wa kobe.

Specification zake ni nzuri ina RAM 4GB, Core i3 na processor pia iko fresh.

Sasa nipo kwenye giza sijui niifanyaje? nafikiria kuiuza ili ninunue yenye specification kubwa zaidi ya hapo, au kama kuna solution nyingine pllls naomba msaada wenu.
 
Hebu bonyeza Start then type Run ingia humo

Itakuja kabox andika msconfig

Itafunguka ka window kapya.

Then click boot then advnced option

Weka tick kweny number of processors chagua maximum namber then oky .

Then hapo kweny ka window ka mwanzo click Start up then task manager itakupelek kwingine utaona task zote zinazo run ukiwasha tu pc kama hutaki na hazina ulazima ryt click then DISABLE



Piga ok then exit without restarting.



Nenda tena kwenye RUN

Type %temp% itakuja new window ina temporaly files n folder nyingi sana Select zote then delete.


Unistal program ambazo huna matumizi nayo ya ulazima au ya mara kwa mara.


Toa anti virus moja kama unazo mbili.

Then restart Pc yako.
 
Gonga system restore mkuu, ndo mwarobaini hapo.Hao wengine watakuchangaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom