Msaada tafadhari

Msaada tafadhari

Amon Vahaye

Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
10
Reaction score
1
Jamani naomba kwa anae faamu anisaidie.ninasimu yangu aina ya Tecno h6 inasumbua line one mda wote inaandika emergency na pia setting za Internet za line 2 hazionekan kwaiyo nashindwa kupata 3G kwenye upande wa line 2 naomba kwa anaeelewa tatzo anisaidie
 
Jamani naomba kwa anae faamu anisaidie.ninasimu yangu aina ya Tecno h6 inasumbua line one mda wote inaandika emergency na pia setting za Internet za line 2 hazionekan kwaiyo nashindwa kupata 3G kwenye upande wa line 2 naomba kwa anaeelewa tatzo anisaidie

hilo tatizo limeanza lini? baada ya tcra au?
 
Back
Top Bottom