Finally Nokia kuja kwenye Android 7.0

Finally Nokia kuja kwenye Android 7.0

ulekwe

Senior Member
Joined
Oct 28, 2014
Posts
197
Reaction score
176
Pita pita kwangu kwenye mitandao Leo hii nikakutana na habari kua Nokia wata toa toleo lao jipya na si jipya tu hila jipya kwenye mfumo wa Android 7.0 ujulikanao kama Nougat.
Tukumbuke Nougat ni Android OS iliyozinduliwa hivi karibuni Os hii mpya kutoka Google inakuja na vitu vingi sana. Baadhi ya vipengele hivyo ni Skrini inayojigawa katika Apps, maboresho katika eneo la Notification, Emoji mpya na mengine .
Aya wapenzi wa Nokia hapa patamu mana kama si mwaka huu basi mwakani mzigo unashuka tuone Nokia ataludi kwenye top chart kama iPhone ama Samsung galaxy?
 
Hawa sio nokia wale tunaowafahamu wa zamani hawa ni nokia wachina na sidhani kama atakuwa na uwezo wa kuwang'atua watu toka kwa Samsung au hata kwa kampuni hii inayochipukoa iitwayo One Plus.

Sekta la android ngumu hata Blackberry hapati kitu kuchelewa chelewa kwake na kwenda windows kumemponza. Lakini nisiseme mengi yangu tu macho,nawatakia kila la kheri.
 
Hawa sio nokia wale tunaowafahamu wa zamani hawa ni nokia wachina na sidhani kama atakuwa na uwezo wa kuwang'atua watu toka kwa Samsung au hata kwa kampuni hii inayochipukoa iitwayo One Plus.

Sekta la android ngumu hata Blackberry hapati kitu kuchelewa chelewa kwake na kwenda windows kumemponza. Lakini nisiseme mengi yangu tu macho,nawatakia kila la kheri.
1. sio wachina ni ex Nokia wanajiita HMD global wapo Finland
2. deal lao na nokia watatumia technology za nokia
3. Usifananishe Technology za Nokia na hao wengine Nokia yupo level yake ya kipekee. Kampuni yenye patents nyingi zaidi za simu na makumpuni makubwa mengi ikiwemo hayo uliyoyataja kama Blackberry na Samsung wanalicence Technology za Nokia ili watumie kwenye Simu zao. Wiki hii Nokia wametangaza Samsung atakuwa anamlipa Euro milioni 250 kwa mwaka, sasa fikiria Giant kama samsung anatoa hela zote hizo ujue sio mchezo

hizo simu ni rumors tu haijulikani kama ni kweli ila katika hizo rumors ni kwamba zitatumia sensor za graphene, kama ni kweli tegemea kitu ambacho hujawahi kiona maishani mwako hata ile pureview itakuwa si kitu, Nokia wana tabia ya kuresearch vitu miaka na miaka maabara kabla havijawa released kwa consumer
 
1. sio wachina ni ex Nokia wanajiita HMD global wapo Finland
2. deal lao na nokia watatumia technology za nokia
3. Usifananishe Technology za Nokia na hao wengine Nokia yupo level yake ya kipekee. Kampuni yenye patents nyingi zaidi za simu na makumpuni makubwa mengi ikiwemo hayo uliyoyataja kama Blackberry na Samsung wanalicence Technology za Nokia ili watumie kwenye Simu zao. Wiki hii Nokia wametangaza Samsung atakuwa anamlipa Euro milioni 250 kwa mwaka, sasa fikiria Giant kama samsung anatoa hela zote hizo ujue sio mchezo

hizo simu ni rumors tu haijulikani kama ni kweli ila katika hizo rumors ni kwamba zitatumia sensor za graphene, kama ni kweli tegemea kitu ambacho hujawahi kiona maishani mwako hata ile pureview itakuwa si kitu, Nokia wana tabia ya kuresearch vitu miaka na miaka maabara kabla havijawa released kwa consumer

Yes, Mkuu ni slip tu ya keys kwa kusema Nokia mchina ni another way ya kusema Fake au faux..

Na kwenye swala la patent portfolio hata sibishi maana kama waanzilishi wa cellular phones Nokia na Motorola mobility ndio watu wanalipwa na kila mtu from Samsung, Apple, LG na kuendelea kwenye simu zao nikitu cha kawaida.

Lakini for now Crown ya innovation imehama kwa muda toka Finland kwenda South Korea maana sema ukweli unabidi ukubali kwamba Samsung ya sasa sio ile ya zamani because kwa sasa yeye ndio analead kwa kuwa na largest R&D budget kwa makampuni yote ya simu. Yani hata ukiangalia TouchWiz to hutaona ndio kwanza android 7.0 ndio inaimplement features alizozileta first mfano Vulkan api, multi window support n.k.

Tunamkaribisha Huyu nokia mpya maana competition ni nzuri kwetu sisi consumers but kwa Samsung hii ambaye yeye ndio maker of the best everything display, memory, Chipset n.k kazi anayo
 
Yes, Mkuu ni slip tu ya keys kwa kusema Nokia mchina ni another way ya kusema Fake au faux..

Na kwenye swala la patent portfolio hata sibishi maana kama waanzilishi wa cellular phones Nokia na Motorola mobility ndio watu wanalipwa na kila mtu from Samsung, Apple, LG na kuendelea kwenye simu zao nikitu cha kawaida.

Lakini for now Crown ya innovation imehama kwa muda toka Finland kwenda South Korea maana sema ukweli unabidi ukubali kwamba Samsung ya sasa sio ile ya zamani because kwa sasa yeye ndio analead kwa kuwa na largest R&D budget kwa makampuni yote ya simu. Yani hata ukiangalia TouchWiz to hutaona ndio kwanza android 7.0 ndio inaimplement features alizozileta first mfano Vulkan api, multi window support n.k.

Tunamkaribisha Huyu nokia mpya maana competition ni nzuri kwetu sisi consumers but kwa Samsung hii ambaye yeye ndio maker of the best everything display, memory, Chipset n.k kazi anayo
mkuu utasemaje ni fake wakati yupo approved na nokia wenyewe?

kuhusu samsung ndio wana innovation ila ukumbuke iinovation za samsung zinafanyika samsung electronics na si huyu samsung mtengeneza simu ndio maana ukiangalia simu za samsung vitu vikali ni vile ambayo vimetngenezwa na wenyewe ndani yaani hao samsung electronics.
-samsung electronics wanaongoza kwa memory bora kuanzia ssd, ram, ufs nk simu za samsung nazo unakuta zina memory bora
-samsung wana factory ya cpu simu zao nazo zina cpu nzuri za exynos nk nk
hivyo unakuta vitu vya ndani ya samsung ndio vizuri

lakini ukikuta vitu ambavyo samsung electronics hatengenezi na samsung mobile ndio anatakiwa atafute vizuri ukichunguza vipo average
-samsung hawatengenezi gpu angalia chip zao za exynos siku zote zinapitwa na adreno za snapdragon kwenye gpu
-samsung anategemea sensor za sony angalia simu zao hadi za 2016 zinashindwa hata kuzipita simu za nokia 2012/2013 kama lumia 1020 kwenye camera
-kwenye networks hadi vikampuni vidogo vinampeleka samsung mahakamani na kumtolesha hela mfano juzi juzi tu hapa amelipa $16m kwa patent troll wa bluetooth bila kusahau mabilioni wanayolipa kwa microsoft.
-njoo kwenye vitu kama mics na audio kwa ujumla, charging (quick charge), na mambo mengine utaona anategemea kampuni nyengine

hivyo samsung yuko vizuri kwenye core business yake tu lakini ukitoka hapo anakuwa average kama OEM wengine tu.

na kuhusu display usisahau first Amoled display ilianzia Nokia kabla samsung hajacopy na hata wakati Lumia 920 inatoka 2012 ilikuwa ndio simu ya kwanza duniani kuwa na Kioo chenye refresh rate ya 60HZ, hao samsung na mitambo yao yote kila siku vioo vyao vilikuwa 30HZ
 
Hawa sio nokia wale tunaowafahamu wa zamani hawa ni nokia wachina na sidhani kama atakuwa na uwezo wa kuwang'atua watu toka kwa Samsung au hata kwa kampuni hii inayochipukoa iitwayo One Plus.

Sekta la android ngumu hata Blackberry hapati kitu kuchelewa chelewa kwake na kwenda windows kumemponza. Lakini nisiseme mengi yangu tu macho,nawatakia kila la kheri.
Blackberry kashtuka anakujana blackberry hamburg with android OS, though hiyo simu inatengenezwa na Alcatel na sio BlackBerry wenyewe.
 
mkuu utasemaje ni fake wakati yupo approved na nokia wenyewe?

kuhusu samsung ndio wana innovation ila ukumbuke iinovation za samsung zinafanyika samsung electronics na si huyu samsung mtengeneza simu ndio maana ukiangalia simu za samsung vitu vikali ni vile ambayo vimetngenezwa na wenyewe ndani yaani hao samsung electronics.
-samsung electronics wanaongoza kwa memory bora kuanzia ssd, ram, ufs nk simu za samsung nazo unakuta zina memory bora
-samsung wana factory ya cpu simu zao nazo zina cpu nzuri za exynos nk nk
hivyo unakuta vitu vya ndani ya samsung ndio vizuri

lakini ukikuta vitu ambavyo samsung electronics hatengenezi na samsung mobile ndio anatakiwa atafute vizuri ukichunguza vipo average
-samsung hawatengenezi gpu angalia chip zao za exynos siku zote zinapitwa na adreno za snapdragon kwenye gpu
-samsung anategemea sensor za sony angalia simu zao hadi za 2016 zinashindwa hata kuzipita simu za nokia 2012/2013 kama lumia 1020 kwenye camera
-kwenye networks hadi vikampuni vidogo vinampeleka samsung mahakamani na kumtolesha hela mfano juzi juzi tu hapa amelipa $16m kwa patent troll wa bluetooth bila kusahau mabilioni wanayolipa kwa microsoft.
-njoo kwenye vitu kama mics na audio kwa ujumla, charging (quick charge), na mambo mengine utaona anategemea kampuni nyengine

hivyo samsung yuko vizuri kwenye core business yake tu lakini ukitoka hapo anakuwa average kama OEM wengine tu.

na kuhusu display usisahau first Amoled display ilianzia Nokia kabla samsung hajacopy na hata wakati Lumia 920 inatoka 2012 ilikuwa ndio simu ya kwanza duniani kuwa na Kioo chenye refresh rate ya 60HZ, hao samsung na mitambo yao yote kila siku vioo vyao vilikuwa 30HZ

Faux ni kitu kinachojaribu kuwa kama the original lakini sidhani kama hatakuwa kama nokia mwenyewe yule wa miaka yote.

Hapo sikuelewa unachosema kwa maneno yako ya Samsung mtengeneza simu na Samsung Electronics wakati ni the same thing hiyo Samsung mobile division ipo scrapped now ipo ndani ya without a decision Samsung Electronics kiujumla ni the same thing Samsung Electronics - Wikipedia, the free encyclopedia

Na hapo pia sikubaliani na wewe Maana ndio! Samsung anahitaji camera sensor za Sony lakini sio kwa sababu hawezi tengeneza zake mwenyewe but kwa sababu hawezi tengeneza kwa shipment yote kama unavyo ona the Galaxy s7 yenye the best phone camera according to Mobile Scores | DxOMark
Kuna simu nyingine zina sensor yake na nyingine zina ile ya Sony Samsung Galaxy S7 camera sensors compared: Sony vs. Samsung - GSMArena.com news ni the same kwenye aspects zote tajwa sijui sensor, mic n.k unadhani hata Nokia (camera sensor, lense, screen) wanauwezo wa kutengeneza kila kitu kwenye simu za na kwa nini wafanye hivyo wakati ni cheaper tu kulicense hiyo technology kutoka kampuni nyingine.

Na hiyo kusema kwamba the first phone display kuwa na AMOLED ni nokia sio kweli sema the first phone on the "market" maana Samsung pia ili announce an amoled phone muda huo huo nokia tu waliwabeat kwenye kurelease ya kwao kwanza maana unavyo jua kuwa Samsung ndio king wa Oled na currently atakuja kuwa king wa quantum dot display. Na lastly hiyo ya 60hz alikuwa sio kwamba Samsung angeshindwa lakini ilikuwa kwamba Android os at the time ilikuwa bado haiwezi ku fully use anything above 30hz unlike windows phone,sasa huwezi poteza hela kuweka kitu ambacho hakito tumika.
 
Faux ni kitu kinachojaribu kuwa kama the original lakini sidhani kama hatakuwa kama nokia mwenyewe yule wa miaka yote.

Hapo sikuelewa unachosema kwa maneno yako ya Samsung mtengeneza simu na Samsung Electronics wakati ni the same thing hiyo Samsung mobile division ipo scrapped now ipo ndani ya without a decision Samsung Electronics kiujumla ni the same thing Samsung Electronics - Wikipedia, the free encyclopedia

Na hapo pia sikubaliani na wewe Maana ndio! Samsung anahitaji camera sensor za Sony lakini sio kwa sababu hawezi tengeneza zake mwenyewe but kwa sababu hawezi tengeneza kwa shipment yote kama unavyo ona the Galaxy s7 yenye the best phone camera according to Mobile Scores | DxOMark
Kuna simu nyingine zina sensor yake na nyingine zina ile ya Sony Samsung Galaxy S7 camera sensors compared: Sony vs. Samsung - GSMArena.com news ni the same kwenye aspects zote tajwa sijui sensor, mic n.k unadhani hata Nokia (camera sensor, lense, screen) wanauwezo wa kutengeneza kila kitu kwenye simu za na kwa nini wafanye hivyo wakati ni cheaper tu kulicense hiyo technology kutoka kampuni nyingine.

Na hiyo kusema kwamba the first phone display kuwa na AMOLED ni nokia sio kweli sema the first phone on the "market" maana Samsung pia ili announce an amoled phone muda huo huo nokia tu waliwabeat kwenye kurelease ya kwao kwanza maana unavyo jua kuwa Samsung ndio king wa Oled na currently atakuja kuwa king wa quantum dot display. Na lastly hiyo ya 60hz alikuwa sio kwamba Samsung angeshindwa lakini ilikuwa kwamba Android os at the time ilikuwa bado haiwezi ku fully use anything above 30hz unlike windows phone,sasa huwezi poteza hela kuweka kitu ambacho hakito tumika.
ndio usiguess subiri simu itoke halafu utoe comment zako

naweza kuwa nimekosea kutamka jina lakini concept inabaki ile ile samsung semiconductor na samsung mobile ngoja nieke kwa namna hio. samsung semiconductor sasa hivi ndio anaeleta mapato na research zote ukiskia samsung kaspend kwenye R&D ni huko na usifikiri ni kwenye simu, kama kitu cha semiconductor kinaingiliana na simu basi simu itafaidika mifano ni kama niliyosema hapo juu memory za ufs, chip za exynos etc, na kama kitu cha simu hakitoki semiconductor ujue kitakuwa average mfano ni huo camera, network, mics, speaker, etc

kuhusu DxOmark sio kipimo sahihi hasa ukichukulia camera za simu hazifanyi kazi kama DSLR, mfano pureview technology ya nokia inafanya oversamling sensor ya 41mp inatoa picha za 5mp inamaana kila pixel ndogo 8 zinaform pixel kubwa 1 hivyo hata nikikubaliana na wewe nikasema jamaa wapo sahihi still lumia 1020 by far itaipita s7, sababu lumia 1020 ina score ya 74 hivyo zidisha kwa 8 unapata 592 wakati s7 ina 88 hivyo 592 na 88 wapi na wapi? angalia hii video uone technology ya 2013 vs 2016 umuone huyo samsung wako anapitwa hadi na simu ya kichina xiaomi mi5. na hapa ukumbuke ni auto mode wanapima ukija manual mode 1020 ndio itazidi kushine sababu ya sensor kubwa


hapana Nokia pia alikuwa wakwanza kutangaza na sio market tu
-Simu ya nokia ya amoled ilitoka August 2008, Nokia n85
-simu ya Samsung ikatangazwa October 2008
-ikaingi sokoni February 2009
source Did you know? Nokia made smartphones with AMOLED screens before Samsung
vyovyote utakavyo wewe kapitwa miezi 2 au 6

na nokia alilalamika sana Samsung anamuibia Technology zake sababu samsung ndio ana viwanda vya kuproduce hivyo vitu, na si Nokia tu, Apple, TSMC, na Oem wengi waliungana kuhusu hii issue, hivyo probability kubwa Amoled ni technology ya wizi kama vile ilivyo 14nm ya samsung wanavyohisiwa kuiba blueprint za TSMC.
 
ndio usiguess subiri simu itoke halafu utoe comment zako

naweza kuwa nimekosea kutamka jina lakini concept inabaki ile ile samsung semiconductor na samsung mobile ngoja nieke kwa namna hio. samsung semiconductor sasa hivi ndio anaeleta mapato na research zote ukiskia samsung kaspend kwenye R&D ni huko na usifikiri ni kwenye simu, kama kitu cha semiconductor kinaingiliana na simu basi simu itafaidika mifano ni kama niliyosema hapo juu memory za ufs, chip za exynos etc, na kama kitu cha simu hakitoki semiconductor ujue kitakuwa average mfano ni huo camera, network, mics, speaker, etc

kuhusu DxOmark sio kipimo sahihi hasa ukichukulia camera za simu hazifanyi kazi kama DSLR, mfano pureview technology ya nokia inafanya oversamling sensor ya 41mp inatoa picha za 5mp inamaana kila pixel ndogo 8 zinaform pixel kubwa 1 hivyo hata nikikubaliana na wewe nikasema jamaa wapo sahihi still lumia 1020 by far itaipita s7, sababu lumia 1020 ina score ya 74 hivyo zidisha kwa 8 unapata 592 wakati s7 ina 88 hivyo 592 na 88 wapi na wapi? angalia hii video uone technology ya 2013 vs 2016 umuone huyo samsung wako anapitwa hadi na simu ya kichina xiaomi mi5. na hapa ukumbuke ni auto mode wanapima ukija manual mode 1020 ndio itazidi kushine sababu ya sensor kubwa


hapana Nokia pia alikuwa wakwanza kutangaza na sio market tu
-Simu ya nokia ya amoled ilitoka August 2008, Nokia n85
-simu ya Samsung ikatangazwa October 2008
-ikaingi sokoni February 2009
source Did you know? Nokia made smartphones with AMOLED screens before Samsung
vyovyote utakavyo wewe kapitwa miezi 2 au 6

na nokia alilalamika sana Samsung anamuibia Technology zake sababu samsung ndio ana viwanda vya kuproduce hivyo vitu, na si Nokia tu, Apple, TSMC, na Oem wengi waliungana kuhusu hii issue, hivyo probability kubwa Amoled ni technology ya wizi kama vile ilivyo 14nm ya samsung wanavyohisiwa kuiba blueprint za TSMC.


Ni opinion yangu tu na ndio maana nikamalizia kwa kusema "yangu macho"... Kuwatoa watu kwenye popular brands kama iPhone na Samsung itaitaji simu flani hata kwa akili yangu siwezi fathom.

Hatuwezi sasa tuwe sure hiyo r&d money wanaifanyia nini Maana figures hazijawa broken down maybe wanawork on other ideas kabisa kama alivyosema hapa "Samsung has already said that it expects growth to remain tough in 2016 but it looks like for now it doesn’t seem to be willing to cut its R&D spending, most likely because it’s now seeking for profits in avenues other than mobile and semiconductor." Samsung’s R&D spending was over $14 billion in 2015

Sasa kama dx0mark sio site sawa ya kurate the best cameras hipi sasa ndio the best, maana sijawahi ona tech site yoyote ambayo kwenye list zao of the best smartphone cameras usikose Samsung kuwa king, yes sijawahi kataa kuwa lumia 1020 ina a remarkable camera but ipo absolete as an around device ndio maana hamna mtu anayeiweka kwenye list yake. Na huyo kijana review zake bado ukitaka mtu anayejua camera angalia poketnow camera review xiaomi hata kidogo aifiki level ya S7. Iwe low-light, day light etc.

Hizo siri wanajua wao the same thing ya LG Prada na the iPhone. Who made it first. Labda kweli kaiba, labda huyu anawivu na mwenzie hatuwezi jua.
 
and by the way project butter google walizindua 60fps pamoja na android 4.1 mwaka 2012 hivyo hakuna kisingizio eti 2012 android ilikuwa haikubali 60fps

source hii hapa
Project Butter improves Android 4.1's speed to a silky-smooth 60FPS

Nina kumbuka, lakini kumbuka pia project butter ilivyokuwa launched Samsung walishakuwa wamerelease Samsung galaxy s3 yao yenye ice cream sandwich zamani, May to be exact lakini after project butter kutoka utaona devices mbili za nexus zikawa released zenye support ya hiyo 60fps namely LG nexus 4 pamoja na nexus 10 and who made the nexus 10 you may ask, none other than SAMSUNG Samsung Google Nexus 10 P8110 - Full phone specifications
Released muda sawa na lumia 920
 
Nina kumbuka, lakini kumbuka pia project butter ilivyokuwa launched Samsung walishakuwa wamerelease Samsung galaxy s3 yao yenye ice cream sandwich zamani, May to be exact lakini after project butter kutoka utaona devices mbili za nexus zikawa released zenye support ya hiyo 60fps namely LG nexus 4 pamoja na nexus 10 and who made the nexus 10 you may ask, none other than SAMSUNG Samsung Google Nexus 10 P8110 - Full phone specifications
Released muda sawa na lumia 920

though nexus 10 ni tablet sio fair comparison lakini still nayo kuna miezi miwili baina yake na lumia 920 iliyotoka september 2012 compare na november ya nexus, hivyo title ya display yenye refresh rate kubwa zaidi inabaki kwa yule yule lumia 920.

ipo note 2 ilitoka sawa na lumia 920
 
Ni opinion yangu tu na ndio maana nikamalizia kwa kusema "yangu macho"... Kuwatoa watu kwenye popular brands kama iPhone na Samsung itaitaji simu flani hata kwa akili yangu siwezi fathom.

Hatuwezi sasa tuwe sure hiyo r&d money wanaifanyia nini Maana figures hazijawa broken down maybe wanawork on other ideas kabisa kama alivyosema hapa "Samsung has already said that it expects growth to remain tough in 2016 but it looks like for now it doesn’t seem to be willing to cut its R&D spending, most likely because it’s now seeking for profits in avenues other than mobile and semiconductor." Samsung’s R&D spending was over $14 billion in 2015

Sasa kama dx0mark sio site sawa ya kurate the best cameras hipi sasa ndio the best, maana sijawahi ona tech site yoyote ambayo kwenye list zao of the best smartphone cameras usikose Samsung kuwa king, yes sijawahi kataa kuwa lumia 1020 ina a remarkable camera but ipo absolete as an around device ndio maana hamna mtu anayeiweka kwenye list yake. Na huyo kijana review zake bado ukitaka mtu anayejua camera angalia poketnow camera review xiaomi hata kidogo aifiki level ya S7. Iwe low-light, day light etc.

Hizo siri wanajua wao the same thing ya LG Prada na the iPhone. Who made it first. Labda kweli kaiba, labda huyu anawivu na mwenzie hatuwezi jua.

yes pocketnow wana review nzuri lakini still ni automode ukikuta site wanayofanya manual mode 1020 ni by far best camera. na hapa tunaongelea technology za hizi kampuni mbili pindi Hizo nokia zikitoka usitegemee ziwe na specs za zamani rumors zina snapdragon 820, hivyo wakiamua wasi inovate chochote waeke sensor ile ile ya lumia 1020 kwenye simu mpya bado watakuwa King wa camera, Sasa imagine hizo rumors za graphene ni kweli usishangae wakatoa hata camera yenye mamia ya pixel na oversampling nzuri zaidi.

hii ni site wanayofanya manual mode
Smartphone camera head to head: Lumia 950 vs Samsung Galaxy S7 edge (vs 1020)

ukipata ya pocketnow pia ilete
 
Back
Top Bottom