Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habar ya weekend jana nimenunua simu ya tecno L8 ndani ya box nimekutana na hii cable nilikuwa naitaji kujua matumizi yake
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Wataalamu natumai muwazima wa afya. Naomba kufahamu kama ving'amuzi vya star times vinasehemu ya VGA??? Asanteni
0 Reactions
0 Replies
814 Views
Wapendwa, Naomba kujua namna ya kuhamisha document toka desktop kwenda kwenye simu yangu- be it HTC, Huawei, Samsung Tablet and Mi note.
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Wana jf naomba kujua bei ya kioo cha samsung s3 full cha ndani na cha nje...maana kioo changu kimeharibika na jinsi nilivyoperuzi nimegundua kuwa ata mimi naweza kuitengeza mwenyewe hivyo kwa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Windows 7 imekubwa na nn wakuu yani kuna virus anakula port na hakamatiki tatzo ni nn wataalam tujuzane
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauliza naweza pata kwa bei gani na wapi mi niko mwanza graphic card ya asus f8s series 1GB NVIDIA 9650GT VGA GRAPHIC CARD G96-650-C1 for asus f8s series
0 Reactions
1 Replies
710 Views
Htc desire 616 Screen touch hairespond kabisa. Sony xperia P LT 22i Ukiwa unaicharge haiingizi chaji,inaweza ikajaa lakini ghafla inaashoot down to 0%. Nadhani tatizo ni battery au charging...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu nashukuru sana maana nimefanikiwa baada ya kuchukua nashauri yenu nimeyafanyua kazi na sasa nimefanikiwa Ku install windows tayari na enyoy,,ila kama kuna MTAALAMU Naomba msaada wa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tarehe 19/08/2016 Kampuni ya Samsung imezindua flagship mpya ya Galaxy Note 7, hii ilikuwa ni tarehe ya uzinduzi USA. Mtumiaji wa note 7 atakuwa ni kama ana computer kiganjani. Kwa maelezo zaidi...
0 Reactions
0 Replies
632 Views
Naomba msaada hili tatizo limenikuta ni baada ya kugundua kuwa nimepandanisha windows sasa nimeanza upya Ku install nifanyeje au kama Windows zikipandana
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naombeni munipe ufafanuzi wa mouse(cursor) kuganda ktk desktop... Kwa mm mwenyewe nilijaribu kubadilisha kila aina ya mouse na kila aina port na pia kutoa virus, kubadilisha window lakini bado...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Heshima yenu wakuu. Siku ya jananlikua natumia pc yangu kweny internet sasa bahati mbaya ikachange na kuonesha blue huku kuna maandish ya hard drive ikakaa mda sana nkaamua kuizima. Sasa kazi...
0 Reactions
0 Replies
614 Views
Wakuu naomba kuelemishwa juu ya hiki kitu kinaitwa INSTA ADS, zinafanyaje kazi, zinatengenezwaje, na zinawezaje kukuingizia kipato? Yeyote anayefahamu tafadhali...........
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Tecno C5 4G Lollipop 5.0 2500mhAm Ram 1GB 8GB int memory 8MP 5inch screen
1 Reactions
34 Replies
20K Views
Habari wanajamiiforum Natumia Huawei Y560 Ipo rooted, nitaweza kuhide jina la mtandao pale kwenye status bar maana linachukuwa nafasi kubwa ambayo ningeweza kuona notification icon za whatsap...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu. Mdogo wangu anafunga ndoa mwezi wa 11 sasa nimeona niulize kwa wataalam kama naweza vipi kutengeneza kadi za mwaliko na mchango na nizisambaze kwa njia ya WhatsApp maana ndugu na...
0 Reactions
10 Replies
11K Views
Habari JF...ambae ashawai tumia j2 ikoje??? Apart from its known au common specifications e.g 4gb....naomba kujuzwa...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Fahamu jinsi ya kutuma nyimbo kutoka kwenye Iphone yako nakushare na mtu mwingine kwa watsapp
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari ndugu, Nauliza kama Simu za Huawei ascend y300 Inawezekana ku update system? Kama inawezekana ni kwa njia gani kwani kwa njia ya kawaida ukisearch for updates unaambiwa no updates wakati...
0 Reactions
1 Replies
731 Views
Habari za leo ndugu. Nimeunda huu uzi maalumu kabisa kwa ajili ya ku deal na Linux operating sytem. Wataalamu wa hii OS karibuni tubadilishane mawazo na namna ya kuitumia. Zipo distros nyingi za...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom