Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

HABARI ZENU Ndugu zangu wana forum naomba msaada juu ya hiyoo cm yangu tajwa hapo juu nahitaj kuroot ili niweze kuinstall google playstore naomba mwenye kujua anisaidie zaid maana nimeshajaribu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wataalamu, naweza kuhamisha clip toka kwenye computer kwenda kwenye flash yangu? If so nafanyaje!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kampuni ya Microsoft chini ya kitengo chake cha michezo kijulikanacho kama Xbox kimetangaza kuwa kitainunua kampuni ya Beam. Beam nayo yenyewe inajihusisha na maswala ya magemu na hata yale ya...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Google wanakuja na programu endeshaji nyingine nje ya Android na Chrome OS. Programu endeshaji hiyo inayokwenda kwa jina la Fuchsia tofauti na Android na Chrome OS hii inajitegemea na haitatumia...
1 Reactions
0 Replies
725 Views
Njoo ujifunze website design & development, database design & implementation, joomla, wordpress and software development using web based technologies. Bure hadi 01/09/2016. Training...
0 Reactions
0 Replies
821 Views
Nina laini yangu ya Vodacom niliyoipenda namba kwani rafiki yangu alikuwa anasajili lain sasa mie siku moja nikaenda ofisini kwake nikakuta lain nyingi sana nikachukua moja nikaweka kwa simu...
1 Reactions
2 Replies
963 Views
Wana body habari zenu, heshima kwenu sana ,nimelazimika kukimbilia jukwaa Hili kwaajili ya msaada nahitaji Ku download ant virus ambayo itakuwa nzuri kwa windows 7 Ultimate pia naomba na link pa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu simu yangu w4 nikiwasha data connection hua inakua slow sana,katika internet yenyewe ipo normal ila tatizo ni vile nikitaka kuscroll hua inagandaganda sana.Msaada wakuu
1 Reactions
30 Replies
5K Views
Habari wakuu Naomba kusaidiwa kujua, kuna hizi game ambazo huchezwa kupitia TV aidha mko wawili kwa maana ya kushindana au kuchezwa na mtu mmoja Kwanza zinaitwaje, zinapatikana wapi na huwa ina...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Kwema ndugu zangu! Napenda tuutumie huu uzi kujifunza java, for biginer's, experienced na senior wa java tusaidiane kutatua changamoto mbalimbali kuhusu kuandika code za java, solving different...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau naomba kuuliza, ni mfumo gani naweza Kutumia kuhamisha pesa ya account ya Tsh kwenye account ya Dola au kwenye PayPal account bila kwenye physically bank na kupanga foleni?, Maana nasikia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
habari wakuu... ninatumia Huawei Y330 kwa mda sasa na ina line mbili, line 1 haina tatizo nikiweka chip ya mtandao wowote network haileti matatizo inasoma H au H+ Tatizo ni hii line 2, muda wote...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
CALL RECORDER kwenye simu yangu imekataa kufanya kazi kabisa,nime download kila toleo imegoma kabisa anayejua jinsi ya kuweka anishauri tafadhali. Simu yangu Samsung Gallaxy noteIII sm_N900.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naombeni msaada wana JF nmepata mtu anauza laptop used mackbook (16 gb) kwa sh laki nne na nusu pia zipo mpya anauza 1million na kaniambia yupo USA. Cha kushangaza namba yake ya simu inaanzia +254...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Jaman naomba msaada bataka kucheza geme ya Fifa EA Sport kweny cm yang Techno J8 kila ila inanambia niwe na account ya EA Sport. Kila ni ki sign up inakataa inarud mwanz .naomba msaada km kuna...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu poleni na majukum nina mambo mawili nilitaka kujua namna ya kufanya. 1. Naomba kuelekezwa jinsi ya ku stream picha kutoka kwenye laptop kwenda kwenye Tv kwa njia ya HD maana HD cable ninayo...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
HABARI WANA JF. NINA LAPTOP HP 1000 YANGU NAIPENDA ILA TATIZO IMEPASUKA HOUSING KAMA KUNA MTU MWENYE LAPTOP YA AINA HIYO TUWASIRIANE IKIWEZEKANA UNIUZIE....NI MATUMAINI YANGU OMBI LANGU...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wakubwa,Week iliyopita nilinunua tecno boom J8 Mliman City pale,sasa naona touch yake haiko sensitive kabisa yaani mpaka ubonyeze Kwa nguvu ndio zinasense Je kuna uwezekano WA...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Thread Deleted
0 Reactions
4 Replies
911 Views
Ndugu zangu mahali dunia ilipofikia siyo sehemu tena ya kujiachia wazi wazi hasa kwenye sekta ya technology upande wa internet... Tumeshashuhudia site za torrents zikipigwa ban kwa kazi za watu...
3 Reactions
25 Replies
4K Views
Back
Top Bottom