LG G2 D-802 korean version

LG G2 D-802 korean version

abd-rashid nkando

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
208
Reaction score
160
Wandugu naomba msaada wenu nina simu tajwa hapo juu ina onesha inasapoti 4g, lakin haionyeshi kama ina hiyo system
 
kama ilikuwa inatumika kwenye mtandao fulani inawezekana huo mtandao hauna 4g hivyo huo mtabdao wameibdisable.

jaribu kubonyeza *#*#4636#*#* uone kama utapata response
 
kama ilikuwa inatumika kwenye mtandao fulani inawezekana huo mtandao hauna 4g hivyo huo mtabdao wameibdisable.

jaribu kubonyeza *#*#4636#*#* uone kama utapata response
Chief nimebonyeza alaf imaniletea options nyingi ila nikieka lte kule kwenye settings haionekani natanguliza shukran
 
Wandugu naomba msaada wenu nina simu tajwa hapo juu ina onesha inasapoti 4g, lakin haionyeshi kama ina hiyo system
Bonyeza 3845#*802# kisha chagua lte only kisha moderms setting kisha RAT selection then chagua lte only sasa au auto.
 
ni vyema pia ukifanya yote hayo uwe na line ya 4g, pia mitandao yetu haina VO-lte hivyo ukieka 4g only ujue hutapokea simu na sms ni vyema ukaeka auto
 
Bonyeza 3845#*802# kisha chagua lte only kisha moderms setting kisha RAT selection then chagua lte only sasa au auto.
We tum inagomaaa nkieka lte only network inapotea kabisa nna 4g ya tgo alaf nkieka auto nkienda kwee settings skuti lte option nakuta gsm/wcdma
 
We tum inagomaaa nkieka lte only network inapotea kabisa nna 4g ya tgo alaf nkieka auto nkienda kwee settings skuti lte option nakuta gsm/wcdma
Kule kweny setting panabaki hivyo hivyo usiwaze...

Em njoo whatsapp
 
Msaada wan JF LG4 yangu inakataa kuwaka ikiwaka in awake nusu haimalizi half in awake tena na pia inaandika android setting half ikiandika hivyo in aloud tu mpaka inachemka kama motor half inajizima inajiwasha tena half in aisha njia ni nini tatizo msaada tafadhali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom