It's all about Apple laptop

It's all about Apple laptop

lucas more

Senior Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
108
Reaction score
27
Naombeni msaada wana JF nmepata mtu anauza laptop used mackbook (16 gb) kwa sh laki nne na nusu pia zipo mpya anauza 1million na kaniambia yupo USA. Cha kushangaza namba yake ya simu inaanzia +254 ambapo hii code ni ya Kenya. Na kanambia naweza tuma kupitia western union au mpesa na mzigo utatumwa through shipping within 48hrs. Facebook anatumia jina la mohammad fakhri. Lakini bado cjamwamini ebu naombeni msaada kuhusu hili nisije nikaliwa bure [emoji3][emoji3]
 
Naombeni msaada wana JF nmepata mtu anauza laptop used mackbook (16 gb) kwa sh laki nne na nusu pia zipo mpya anauza 1million na kaniambia yupo USA. Cha kushangaza namba yake ya simu inaanzia +254 ambapo hii code ni ya Kenya. Na kanambia naweza tuma kupitia western union au mpesa na mzigo utatumwa through shipping within 48hrs. Facebook anatumia jina la mohammad fakhri. Lakini bado cjamwamini ebu naombeni msaada kuhusu hili nisije nikaliwa bure [emoji3][emoji3]

Mkuu kimbia hao jamaa ni wezi , utalipaje malipo kupitia western union
Kuna jamaa yangu walimpiga 1000usd, na wana a/c huku kila siku wanabadilisha halafu wanajifanya ni watu wa dini na ndo maana wanatumia majina ya kiislama keshokutwa watabadilisha tena jina ,ni matapeli achana nao kabisa
 
wakenya ilibidi wawe majirani na nigeria, ndo wanaendana kwa wizi
 
Dah yaan hadi sasa hivi ananilazimisha nitume hela [emoji3][emoji3]
 
ipo thread yake huyo tapeli, sijui kwanini hadi leo polisi hawajamkamata na tayari taarifa wameshapelekewa
 
No Yake ni +254 790337350
Unaweza chat nae whatsapp. Mwambie unahitaji laptop. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]yanii huyu mtu
 
Mimi nilichapwa 3m. Nakumbuka na posta walini pa tahadhari lakini sikio la kufa....!
 
No Yake ni +254 790337350
Unaweza chat nae whatsapp. Mwambie unahitaji laptop. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]yanii huyu mtu

Hawa jamaa wako smart sana kesho kutwa watwkuja na jina lingine kuwa na wanaweka vitu MBALIMBALI vya apple, sim,mac ,sumsung, ipad ,tablet ,na mbaya zaidi KWENYRE MODE OF PAYMENTS NDO WANAACHAGA NA NDO WANAONYESHA KUWA WAO ,WANARUHUSU ,WEST UNION, MONEY GRAM, HALAFU WANAKUAMBIA SHIPPING INAFANYIKA BAADA YA KU KUCONFIRM PAYMENTS
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom