wacheki halotel,mi ndio natumia modem yao,sijawahi kupata kasoro ya kulalamika...WAKUU Ni kampuni gan ya Simu Ina toa modem nzuri za internet kwa matumizi ya laptop ... na Ni kampun gan ambayo Ina limitless internet ...: mimi mpenzi wa online movies so naomba msada wenu
kama una uwezo wa kupata simu ni bora zaidi, modem nyingi siku hizi hazina speed ya kutosha hasa vile tumeshaingia ulimwengu wa 4g. ukiwa na simu signal zitakuwa na nguvu zaidi kuliko modem pia utatumia mitandao yote.
cheki site kama kupatana simu used za 4g unaweza zipata around 100,000 hadi 150,000 na mpya zipo around 200,000 madukani na kwenye mitandao ya simu.
kwa 3g simu used zipo za kumwaga, bei hizo hizo za modem
Acha uongo!kama una uwezo wa kupata simu ni bora zaidi, modem nyingi siku hizi hazina speed ya kutosha hasa vile tumeshaingia ulimwengu wa 4g. ukiwa na simu signal zitakuwa na nguvu zaidi kuliko modem pia utatumia mitandao yote.
cheki site kama kupatana simu used za 4g unaweza zipata around 100,000 hadi 150,000 na mpya zipo around 200,000 madukani na kwenye mitandao ya simu.
kwa 3g simu used zipo za kumwaga, bei hizo hizo za modem
Hao Halotel modem zao si za line moja, au zinakubali line zote ??wacheki halotel,mi ndio natumia modem yao,sijawahi kupata kasoro ya kulalamika...
ni halotel tu mkuuHao Halotel modem zao si za line moja, au zinakubali line zote ??
Ni 4G au ???ni halotel tu mkuu
uongo upi uliouona hapo?Acha uongo!
Huo wote ulioandika hapo juu. Kunukuu sehemu ya uongo wako itakuwa ni kuendelea kupromote uongo 😀😀😀uongo upi uliouona hapo?
Hili swala la modem za 4G kuwa ni signals hafifu hilo ni kweli, mi ninayo modem ya 4G naona ni upuuzi, pia modem nyingi za 3G speed ikienda Sana 22mbps ila nyingi ni 7mbps, hapo wakati simu nyingi zenye 3G huwa zina range 10-42mbps na kama ukiunga wireless tethering speed za simu huwa ni kubwa kuliko hizo modem. Kwa mfano hiyo modem yako ya halotel ni 21.6mbps wakati huawei y625 ni 42mbps.Huo wote ulioandika hapo juu. Kunukuu sehemu ya uongo wako itakuwa ni kuendelea kupromote uongo 😀😀😀