Tatizo la Keyboard kwenye Laptop Naomba msaada

Tatizo la Keyboard kwenye Laptop Naomba msaada

naan ngik-kundie

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2014
Posts
1,766
Reaction score
2,438
Wakuu kuna LapTop nilinunua wiki jana lakini nimeshindwa kuitumia kwa sababu ya Keyboard setting yake, yaani kila nikiwa nina type nikibonyeza baadhi ya button inaandika namba.

Mfano nikibonyeza button ya M inaandika 6, nikibonyeza P inaandiKa 0, hivyo hivyo na button nyingine nyingi kama J,K,L, tafadhali wakuu naombeni msaada kwa yeyote anayejua jinsi ya kumaliza tatizo hili maana ata sioni raha ya kuwa na hii PC.
 
Wakuu kuna LapTop nilinunua wiki jana lakini nimeshindwa kuitumia kwa sababu ya Keyboard setting yake, yaani kila nikiwa nina type nikibonyeza baadhi ya button inaandika namba, mfano nikibonyeza button ya M inaandika 6, nikibonyeza P inaandiKa 0, hivyo hivyo na button nyingine nyingi kama J,K,L, tafadhali wakuu naombeni msaada kwa yeyote anayejua jinsi ya kumaliza tatizo hili maana ata sioni raha ya kuwa na hii PC.
https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/680931-laptop-inanizingua-keyboard.html
 
Mkuu kwa jina naitwa danford wa dom
kama ni window xp nenda start control panel nenda sehemu iliyoandikwa keyboard alafu angalia kuna sehemu ya kubadilisha mfumo wa herufi au piga window
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom