Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 8,536
- 14,068
Wadau nina laptop ya Samsung note book N100SP inanizingua kutype na sijui nifanye vipi setting zake
keys za u, i,o p,j,k,l,m kwa chini zina namba
tatizo nikibonyeza hizo keys zinatokea namba badala ya herufu hivyo nakwama kuandika kabisa
inatumia windows 8 pro
any suggestion
key
keys za u, i,o p,j,k,l,m kwa chini zina namba
tatizo nikibonyeza hizo keys zinatokea namba badala ya herufu hivyo nakwama kuandika kabisa
inatumia windows 8 pro
any suggestion
key