laptop inanizingua keyboard

laptop inanizingua keyboard

Mayu

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2010
Posts
8,536
Reaction score
14,068
Wadau nina laptop ya Samsung note book N100SP inanizingua kutype na sijui nifanye vipi setting zake
keys za u, i,o p,j,k,l,m kwa chini zina namba
tatizo nikibonyeza hizo keys zinatokea namba badala ya herufu hivyo nakwama kuandika kabisa
inatumia windows 8 pro
any suggestion

key
 
wataalam naombeni ujuzi wenu please
 
Mkuu gmabumbe nashukuru lakini bado inagoma, ilikua uk nikabadili usa bado shida ipo palepale
 
Last edited by a moderator:
Option 1
V5CLML

Kuweka ON | fn + numb lk
kuweka OFF | fn + numb lk
Option 2

  • Bofya kwa pamoja Crtl + fn kisha bofya mara mbili SHIFT
  • Hapo utafanikiwa | Karibu
Wadau nina laptop ya Samsung note book N100SP inanizingua kutype na sijui nifanye vipi setting zake
keys za u, i,o p,j,k,l,m kwa chini zina namba
tatizo nikibonyeza hizo keys zinatokea namba badala ya herufu hivyo nakwama kuandika kabisa
inatumia windows 8 pro
any suggestion

key

wataalam naombeni ujuzi wenu please

Mkuu gmabumbe nashukuru lakini bado inagoma, ilikua uk nikabadili usa bado shida ipo palepale
 
Mkuu kwa uzoefu wangu nakushauri tafuta keyboard nyingine ndio ugonjwa wa mini laptop huo.au disable keyboard na tumia usb external keyboad.
 
Option 1
V5CLML

Kuweka ON | fn + numb lk
kuweka OFF | fn + numb lk
Option 2

  • Bofya kwa pamoja Crtl + fn kisha bofya mara mbili SHIFT
  • Hapo utafanikiwa | Karibu

Mkuu naomba nitoke nje ya topic kidogo.. samahani lakini mleta mada, kuna jamaa yangu amenunua PC, ameishia tu kuweka window tu PC yake imeibiwa na mpaka leo haijaonekana!
mkuu huyu jamaa bado ana manual book, hivi nawezaje kupata pc iliyopotea kwa kutumia manual book? msaada tafadhali, kaja kwangu kuniomba msaada..
 
Mkuu naomba nitoke nje ya topic kidogo.. samahani lakini mleta mada, kuna jamaa yangu amenunua PC, ameishia tu kuweka window tu PC yake imeibiwa na mpaka leo haijaonekana!
mkuu huyu jamaa bado ana manual book, hivi nawezaje kupata pc iliyopotea kwa kutumia manual book? msaada tafadhali, kaja kwangu kuniomba msaada..
  • Hakuna uwezekano wa kuipata.
  • Atoe taarifa polisi [iwapo ana vielelezo vya umiliki halali],na kama ikitokea akamjua mwizi wake siku ya siku, ili aweze kurudishiwa na kuchukuliwa hatua za kisheria zaidi huyo mwizi.
 
Option 1
V5CLML

Kuweka ON | fn + numb lk
kuweka OFF | fn + numb lk
Option 2

  • Bofya kwa pamoja Crtl + fn kisha bofya mara mbili SHIFT
  • Hapo utafanikiwa | Karibu

Mi pia nna tatizo hilo. Nimefuata haya maelekezo lakini hazijakubali. Number keys. 4 6 8 0 ndio hazifanyi kazi. Anyhelp plz?
 
Mi pia nna tatizo hilo. Nimefuata haya maelekezo lakini hazijakubali. Number keys. 4 6 8 0 ndio hazifanyi kazi. Anyhelp plz?
  • 4,6,8,0 hazifanyi kazi? Je buttons za keyboard zingine ziko sawa.
  • Tatizo la mleta mada ni kwamba akitaka herufi J mfano, kinachojitokeza ni number, hivyo alitaka njia ya kuondoa hili tatizo kwamba akibofya J basi itokee J na sio number
 
  • 4,6,8,0 hazifanyi kazi? Je buttons za keyboard zingine ziko sawa.
  • Tatizo la mleta mada ni kwamba akitaka herufi J mfano, kinachojitokeza ni number, hivyo alitaka njia ya kuondoa hili tatizo kwamba akibofya J basi itokee J na sio number

Zote zinafanya kazi except those. Samsung mini np102. (so far ninatumia keyboard ya simu maana nimejaribu hizo options in vain.

2. Nini kinasababisha laptop iwe kama ina mchanganyiko wa rangi? baada ya muda inazima.dell latitude
 
  • Hakuna uwezekano wa kuipata.
  • Atoe taarifa polisi [iwapo ana vielelezo vya umiliki halali],na kama ikitokea akamjua mwizi wake siku ya siku, ili aweze kurudishiwa na kuchukuliwa hatua za kisheria zaidi huyo mwizi.
Mkuu vipi kama unajua IP address?..
 
Option 1
V5CLML

Kuweka ON | fn numb lk
kuweka OFF | fn numb lk
Option 2

  • Bofya kwa pamoja Crtl fn kisha bofya mara mbili SHIFT
  • Hapo utafanikiwa | Karibu
Thanx a million mkuu......it work like charm
tatizo limebaki kwenye screen resolution, nyingi ya software zinakataa kufunga sababu screen resolution yangu ndogo na imefika mwisho zaidi ya inayotakiwa ku run hizo software
nafikiria kushuka chini kwenye windows 7
 
Thanx a million mkuu......it work like charm
tatizo limebaki kwenye screen resolution, nyingi ya software zinakataa kufunga sababu screen resolution yangu ndogo na imefika mwisho zaidi ya inayotakiwa ku run hizo software
nafikiria kushuka chini kwenye windows 7

I envy you 🙁🙁
 
Thanx a million mkuu......it work like charm
tatizo limebaki kwenye screen resolution, nyingi ya software zinakataa kufunga sababu screen resolution yangu ndogo na imefika mwisho zaidi ya inayotakiwa ku run hizo software
nafikiria kushuka chini kwenye windows 7

Download graphics driver tuuu. Hata ukiweka 7 same problem
 
Download graphics driver tuuu. Hata ukiweka 7 same problem
Mkuu hii makitu inasumbua sana aisee, nimehangaika na graphics card intel hawana drivers za windows 8 zipo za.wn7 ambazo hazileti matokeo mazuri
nimebadili hadi registry. nikapata resolution inayotakiwa lakini application zikifunguka zina stuck hadi ni restart kimeo
hivi tayari nimeisha weka win7 nakata kiu nikiridi home nadownload drivers nione matokeo
sishauri mtu.anunue hizi notebook ni usumbufu
 
Mkuu hii makitu inasumbua sana aisee, nimehangaika na graphics card intel hawana drivers za windows 8 zipo za.wn7 ambazo hazileti matokeo mazuri
nimebadili hadi registry. nikapata resolution inayotakiwa lakini application zikifunguka zina stuck hadi ni restart kimeo
hivi tayari nimeisha weka win7 nakata kiu nikiridi home nadownload drivers nione matokeo
sishauri mtu.anunue hizi notebook ni usumbufu
JINSI Y A KUFANYA
  1. Install windows 7 &, kisha hakikisha drivers zote zimekewa installed.
  2. KIsha tafuta software ili ufanye backup ya drivers zote za hiyo windows 7 uliyoweka, - Tumia Driver pack solution lite
  3. Ondoa windows 7 na weka windows 8 au 8.1 katika hiyo PC
  4. Tumia ile back up ya drivers za windows 7, kufanya installation ya drivers katika windows windows 8
nb: Kama utatumia windows 7 x32bit kufanya drivers backup, Basi windows 8 utakayoweka nayo iwe x32bit
Hapo utakuwa umetatua hilo tatizo la Resolution katika PC yako. Hii ndio njia niliyoitumia hivi karibuni kwa LENOVO B590, n NA DELL INSPIRON 15 3000 series. Maana driver pack zote nilizonazo zilishidwa kuziweka drivers za graphic hata baada ya kutumia manual installation, na sikuwa mahala penye internet kwamba ningefanya download
 
Back
Top Bottom