Kuongeza installation capacity ya apps kwenye Huawei G6 - U10

Catherini

JF-Expert Member
Jan 15, 2014
390
148
Simu uangu ya Huawei G6 - U10 ina limitation ya kuinstall apps mpaka 1070 mb tu, hata kama simu ina nafasi ya kuweka vitu vingine ie media, documents etc ya more than 1gb, lakini apps mwisho ni limit niliyotaja hapo juu..

Kwa maneno mengine siwezi ku install apps beyond 1070 mb hata kama simu ina free space ya 2 gb.
JE nafanyaje kuongeza uwezo wa ku-indtall apps zaidi? Msaada tafadhali
 
Simu uangu ya Huawei G6 - U10 ina limitation ya kuinstall apps mpaka 1070 mb tu, hata kama simu ina nafasi ya kuweka vitu vingine ie media, documents etc ya more than 1gb, lakini apps mwisho ni limit niliyotaja hapo juu..

Kwa maneno mengine siwezi ku install apps beyond 1070 mb hata kama simu ina free space ya 2 gb.
JE nafanyaje kuongeza uwezo wa ku-indtall apps zaidi? Msaada tafadhali
Yah apo CC* angu ni kitu cha kawaida mana kw devices nying zenye Capacity yakawaida kama Huawei G6-u10 coz Capacity kubwa huwa ocupied na Os{operating system} but tuachane na hayo swala lipo ivi apo ukitaka kutatua ilo swala inabidi U change default installation directory iwe SD card ili kila uki install applications ziwe zina kwenda moja kwa moja kuwa saved directly to SD-Card{memory card kajnalingine mnaita} ilihali Saiv application zilizokuwa installed kwenye CM yako zimefikia Optimum Storeg requirement yake ambayo ni 1GB and 46MB sawasawa nakusema 1070mb huwez ongeza zingine io nafasi unayo iona imebaki ata kama ni 2GB ndio CMu ina hitaji kama ziada ili Ku perform function zake zingine kwamfano upo Facebook mtu anakupigia CM iLe action ya ku handle/ kutunza kumbu kumbu Ya previous Process/action ili ata ukimaliza kuongea uendelee na shighuli zako za FB ulipoishia bila ku ku restart app son Nadhan solutionnumeielewa Vzur en kuchange default directory location From phone to SD card n kakazka Flan iv ambapo unapaswa ufuate Hatua zifuatazo ili kukamilisha mchakato mzima
1: Root simu
2:Open usb debuging kwenye cmu yako
3:download JDK{java developer toolkit ilopo compatible na Bits za PC yako mfano ni 32Bits & 64Bits na SDK manager} Kwenye PC yako kishe nenda kwenye location ulipo weka io SDK manager press shift kisha riht click choose open command Fungua usb debuging kwenye CM chomeka Usb kwenye PC sasa apa una fanya iv
kwenye io command prompt uloifungulia kwenye SDK unatype iz command
1: adb devices
kisha hit enter kwenye PC {utaona device yakoimekuwa displayed kwenye command apo}
2: adb shell pm-install-location 2
kisha hit enter
3:exit
kisha hit Enter

kuanzia hapo sasa ani utakuwa una install apps directly from google play ata laki ani upendayo ww 2kuendana sa saiz ya memoty yako tu ani

hahahaha Najua umechoka maelezo Maref kama kamba mchezo mdogonsana huu ka dakika 5 tu but no way out ndo njia iyo CC* angu ukistuck sehem niulize ntakusaidia.NYC time!

*The biggest mistake U can make is to give up*
 
Yah apo CC* angu ni kitu cha kawaida mana kw devices nying zenye Capacity yakawaida kama Huawei G6-u10 coz Capacity kubwa huwa ocupied na Os{operating system} but tuachane na hayo swala lipo ivi apo ukitaka kutatua ilo swala inabidi U change default installation directory iwe SD card ili kila uki install applications ziwe zina kwenda moja kwa moja kuwa saved directly to SD-Card{memory card kajnalingine mnaita} ilihali Saiv application zilizokuwa installed kwenye CM yako zimefikia Optimum Storeg requirement yake ambayo ni 1GB and 46MB sawasawa nakusema 1070mb huwez ongeza zingine io nafasi unayo iona imebaki ata kama ni 2GB ndio CMu ina hitaji kama ziada ili Ku perform function zake zingine kwamfano upo Facebook mtu anakupigia CM iLe action ya ku handle/ kutunza kumbu kumbu Ya previous Process/action ili ata ukimaliza kuongea uendelee na shighuli zako za FB ulipoishia bila ku ku restart app son Nadhan solutionnumeielewa Vzur en kuchange default directory location From phone to SD card n kakazka Flan iv ambapo unapaswa ufuate Hatua zifuatazo ili kukamilisha mchakato mzima
1: Root simu
2:Open usb debuging kwenye cmu yako
3:download JDK{java developer toolkit ilopo compatible na Bits za PC yako mfano ni 32Bits & 64Bits na SDK manager} Kwenye PC yako kishe nenda kwenye location ulipo weka io SDK manager press shift kisha riht click choose open command Fungua usb debuging kwenye CM chomeka Usb kwenye PC sasa apa una fanya iv
kwenye io command prompt uloifungulia kwenye SDK unatype iz command
1: adb devices
kisha hit enter kwenye PC {utaona device yakoimekuwa displayed kwenye command apo}
2: adb shell pm-install-location 2
kisha hit enter
3:exit
kisha hit Enter

kuanzia hapo sasa ani utakuwa una install apps directly from google play ata laki ani upendayo ww 2kuendana sa saiz ya memoty yako tu ani

hahahaha Najua umechoka maelezo Maref kama kamba mchezo mdogonsana huu ka dakika 5 tu but no way out ndo njia iyo CC* angu ukistuck sehem niulize ntakusaidia.NYC time!

*The biggest mistake U can make is to give up*
Chacha95 nakushukuru kwa mwongozo huo wa namna ya kufanya ili kuibadilisha default storage ya apps kwenda kwenye sd card... Nitaifanya kama ulivoelekeza, in case nikikwama nitarudi hapa.
Asante sana.
 
Chacha95 nakushukuru kwa mwongozo huo wa namna ya kufanya ili kuibadilisha default storage ya apps kwenda kwenye sd card... Nitaifanya kama ulivoelekeza, in case nikikwama nitarudi hapa.
Asante sana.
poa poa

*The biggest Mistake u Can Do in Life is To GiveUp*
 
Ulipoandika "press shift" kwenye location ya sdk sijaelewa, application ya sdk niliyo-download ipo compressed
 
Nimedownload SDK manager na jdk 32 bit, je napaswa kuinstall kwenye PC?
jdk install lkn SDK huwa ni file na Co installation unatakiwa uli unzip ulweke Location yyote mfano c:/ drive af ilkuepusha mlolongo ka nlivokuambia una Hold shift keY huku una right click kikitokea kiboxkile cha
View
sort by
refresh
customize
.......
......
.....
nadhan umeshakielewa apo utakuta nno lmeandkwa

open a command window here

una click inatokea command prompt ndo unanza ss unachomeka usb while usb debuging ikiwa on unaanza na command ka nlivo kuelekeza . haYa Twende kaz ukistuck nipo..... ......

*The biggest mistake u can make in Life is to give up*
 
Ulipoandika "press shift" kwenye location ya sdk sijaelewa, application ya sdk niliyo-download ipo compressed
Af ka nlisahau io shift una hold ukiwa ume fungua ilo file la sdk ukiwa ndan ya ilo file ndo una hold io shift una right click pemben una open command window here
 
Wakuu naombeni mnisaidie na mm
nina simu yangu ya samsung ambayo ina low internal memory na nashindwa kuinstall apps mpya coz inaniambia unsufficient space na nmejaribu kwenda kwenye setting kuangalia labda naweza change installation directory kwenda kwenye sd card hyo kitu hakuna mkuu
so naombeni mnisaidie nifanyaje ili niweze kuinstall apps nyingi
 
Wakuu naombeni mnisaidie na mm
nina simu yangu ya samsung ambayo ina low internal memory na nashindwa kuinstall apps mpya coz inaniambia unsufficient space na nmejaribu kwenda kwenye setting kuangalia labda naweza change installation directory kwenda kwenye sd card hyo kitu hakuna mkuu
so naombeni mnisaidie nifanyaje ili niweze kuinstall apps nyingi
soma maelezo kuanzia mwanzo wa Thread majibu Yapo.
 
Back
Top Bottom