Mawazo yenu

Mawazo yenu

mikumiyetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2016
Posts
1,312
Reaction score
947
Habari wakuu kuna simu hapa tecno L8 ina hii cable inaitwa OTG sasa swali langu naweza kutumia modem katika internet,yaan nizime data alafu nitumie modem
1472022559277.jpg
 
Hujasema lengo lako ni nini, kwa nini usitoe hiyo laini ya moderm ukaweka kwenye simu kisha utumie? Au internet ya hiyo moderm ina speed kuliko hiyo simu?

Ngoja watu wa simu waje wakuelekeze
 
Wataka usaidiweje?sababu unaweza kutumia internet apo thru simu yako au moderm.
 
Cable ya otg haihusiki katika ishu ya kutumia internet.
Lakin sijaelewa unatak kutumia internet kwenye simu au kwenye pc?

Kama unataka kutumia kwenye pc huna haja ya kuzima data we iunganishe tu na pc, kama unataka kutumia kwenye simu, modem yako inatakiwa kua na uwezo wa kuwasha wifi hotspot hata hapa haitakua na ulazima wa kuzima data ni utawasha wifi kwenye simu yako na kuunganisha kwenye hotspot husika.
 
Inategemea na modem unayotumia, kama kuna android software yake then itapiga mzigo, kama hakuna then hadi mtu atengeneze, nenda play store kuna app inaitwa PPP Widget ujaribu
 
Back
Top Bottom