Teja Junior
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 1,740
- 1,597
Mimi nime maliza kidato cha nne mwaka 2008 kama mnakumbuka miaka hiyo kulikuwa matokeo yakitoka huwanaweka namba tu sio majina kama siku hizi kama sikosei sasa mimi bwana sikumbuki namba yangu ya mtihani ila shule nakumbuka na matokeo ya form IV mwaka 2008 nimeyaona na shule nimeiona ila tatizo namba yangu nime sahau na cheti cha form IV shuleni siku chukua nina LEAVING CERTIFICATE TU CHETI SINA ILA MIMI SHIDA YANGU NATAKA KUJUA NAMBA YANGU NIONE MATOKEA YANGU NAWEZA PATA MSAADA WAKUU KWA HILI JAMBO