Madhara ya kumblock download manager ktk smartphone yako

Madhara ya kumblock download manager ktk smartphone yako

ally kitupe

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
259
Reaction score
218
Download manager ni andoid ambaye anashugulika na kudownload ktk simu yako ivyo pale anapoblokiwa uwa simu inaandika unfortunately google playstore stoped ili neno utokea mara kwa mara ktk simu ivyo basi kama simu yako inatatizo ilo unatakiwa uwai keset kabla halijakuwa clonic itakubidi uende kwenye setting chagua application manager nenda kwenye all kisha tafuta application imeandikwa download manager iweke enable kama tatizo linaendelea basi unatakiwa kuiboot simu faster mana ukichelewa itakubidi mpaka ukafrash simu yako[emoji106]
 
Taarifa muhimu.
Hivi kiswahili ni kigumu kiasi hiki wakuu!
Shugulika=shughulika
Uwa=huwa
Ili neno=hili neno
Ivyo=hivyo
Uwai=uwahi
Clonic...hiki kimombo sikijui
Ukafrash....kimombo pia
 
Juzi kuna mwanasheria kalalamika hapa kuwa kuna mahakimu hawajui kiingereza, watu likawatoka povu kuwa sio lugha yetu tuijue ya nini! Kumbe hata Kiswahili hatujui.
 
Download manager ni andoid ambaye anashugulika na kudownload ukafrash simu yako[emoji106]
Kwa kawaida kila unadown nyimbo kutoka ktk line yako simu uludisha report ktk karia wako (tigo ,airtel nk) hii inaitwa file report
ni pm nikupe maujanja
Je, unahitaji kutumia internet free?
Dogo kwa nini hutaki kwenda darasani unatumia uongo wako kuziharubu simu za watu kwa ajili tu ya kuchaji simu zao hapo kibandani kwa kaka yako?

  1. Download manager ni Android
    1. Dowanload Manager kazi yake ni kupakua vitu km picha Doc, nyimbo video na kupakia kwenye simu yako na zipo nyingi km Internet DM, Free DM nk
    2. Android ni kifaa kunachomilikiwa na Google katika hizi simu za kiganjani ni mfumo wa Computer ambao Black Berry aliuanzisha (Android is a mobile operating system developed by Google, based on the Linux kernel and designed primarily for touchscreen mobile devices such as smartphones and tablets. Android's user interface is mainly based on direct manipulation,)
Mengine ni kichekesho km nikiendelea kukufuatilia, omba darasa la Computer uelimile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom