General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Wakuu nimepata offer ya kuchagua simu moja wapo kama zawadi, ingawa sijawahi tumia hizo simu zaidi ya kuziona kwa watu.
Kwa wazoefu wa hizo simu naomba mnisaidie ni simu gani bora na yenye mvuto Iphone 6s+, lumia 950xl na galaxy s7
CC CHIEF MKWAWA
Kwa wazoefu wa hizo simu naomba mnisaidie ni simu gani bora na yenye mvuto Iphone 6s+, lumia 950xl na galaxy s7
CC CHIEF MKWAWA