Hakuna umuhimu wa kuwa na Antivirus katika simu

Hakuna umuhimu wa kuwa na Antivirus katika simu

ally kitupe

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
259
Reaction score
218
Siku za kalibuni asilimia 90 ya simu zenye antivirus zimepatwa naatatizo mbalimbali ikiwemo kuzima kustack nk

KWANN ANTIVIRUS NDIO IWE CHANZO CHA TATIZO IKIWA NDO KINGA?
kila simu ya android imegawanyika sehemu mbili system na slavery(memorycard) ivyo kama simu haina antivirus virus akiingia uwa anakwenda mojakwa moja kwenye slavery (memorycard)ivyo ujikuta yupo huru sana na ushambulia file kama nyimbo au pictures kwa slow sana ivyo uchukua mda sana simu kupatwa na matatizo

KWA SIMU ZENYE ANTIVIRUS
Pindi virus(bad file) anapoingia kwenye simu uwa hawi huru anaanza kupambana na antivirus ikitokea antirus kushindwa pia nayo uwa bad file mbaya zaidi iyo antivirus uwa upande wa system ambao mwongozo wa simu wote uwa uko hii inaweza kusababisha simu kupata shida pindi unapoiwasha sababu ndo wakati wa kupanga file zake inashindwa kuzitambua zile bad file apo ndipo yapoanza matatizo ya kuchelewa kuwaka kustak simu kupoteza uwezo na hata kuzima kabisa
 
Uzi mzuri sana,ila hueleweki,hueleweki kwa sababu huweki vituo na kuna makosa madogomadogo ya kisarufi.
Jisahihishe.
 
chamsingi ni kutoibebesha simu mzigo mkubwa kama unavyo vitu muhimu ni bora ukavihifADHI kwenye email. na sehemu nyinginezo ila sio kwenye simu, vile vile ni muhimu kufuta app zote ambazo huzitumii, epuka sana kudownloads apps ambazo hujui kazi yake na ikikubidi kudownload apps soma kwanza maoni ya watu wengine waliodownload hiyo apps...hakikisha unadownload apps kutoka kwenye vyanzo vinavyotambulika japo vile vile hivi vyanzo vinavyo tambulika navyo vimeingiliwa siku hizi.
 
Back
Top Bottom