Habari zenu
Simu yangu aina ya Samsung J5 imevujiwa wino kwenye display, natafuta mtaalamu au mahali ambapo wanabadilisha kioo kwa uhakika
Kama yupo anisaidie tafadhali...[emoji22] [emoji22]
Ninamiliki simu aina ya Huawei Y530 na pia nimeiroot. Lengo mahususi la kuiroot ilikua ni kupata fursa ya kupdate android yake kutoka 4.3 to Lollipop or any other latest version.
Lakini...
Nitoe pongezi za dhati kabisa kwa Halotel ukilinganisha na mitandao mingine ya kawaida ya huduma za mawasiliano. Binafsi karibuni nimetumia mitandao mitatu Tigo, Airtel na Halotel kwa ajili ya...
Usione AMD wamekaa kimya.
Ukimya wao wanautumia vizuri.
Wame plani kutengeneza accelerated processing unit (APU) ambayo ni combination ya CPU na GPU! hivyo basi zitakua haziuzwi tena separate...
Wakuu kama ilivuoandikwa hapo juu naomba mnisaidie maana napokea notifikation lakini I cant access them directly...Mf: ninaweza pokea "29 notifications on Jamii forums" lakini niki-tap ili nizione...
Katika pita pita kwenye mitandao nikaingia kupatana ni kakuta hivi kama kwenye screen short hapo chini je hiyo bei yenye usd iko sawa hala tukiachana na maswala ya bei mimi nauliza wataalamu wa...
Guys naombeni msaada wenu kwa waelewa au mnaotumia simu hii, sijazoea simu iniendeshe inavyotaka bali ninavyotaka mimi ndiyo maana napenda kutumia android na wala si ios.
Hii simu inakataa...
Ndugu, natanguliza shukran zangu za dhati.
Kwa anaefahamu software nzuri ya ku editia video, kuunganisha picha na kuziwekea mziki. Tafadhar naomba anijuze.
NB: Nataka software za computer na siyo...
Ndugu napenda kufahamu camera nzuri na bora kwa video production ni ipi. Maana nahitaji kununua camera bora na kisasa ambazo zitakuwa za muda mrefu. Wataalamu Filamu wanasema ukiachana na stori ya...
Nahitaji application for iOS Kwa ajili ya mobile tracker Kwa ajili ya sms na whatsapp.nahitaji Kwa kupata sms kutoka simu nyingine nizione kwenye simu yangu
Ni kawaida sasa hivi kwenye redio kusikia matangazo ya lumia, samsung galaxies zinazidi kushika kasi, techno wanakomba soko la Tanzania na huawei nyingi za tigo zinazidi kusambaa. yote haya...
Wakuu nashindwa kuelewa utajiri wa Bill gates, Zuckerbarg, mmiliki wa google (android),.
Ukiwatizama matajiri hawa unakuta wamewashinda wamiliki wa makampuni makubwa hapa dunini ambayo bidhaa zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.