Hebu tubadilishane umahiri hapa

Hebu tubadilishane umahiri hapa

mathsjery

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
2,287
Reaction score
1,855
Katika pita pita kwenye mitandao nikaingia kupatana ni kakuta hivi kama kwenye screen short hapo chini je hiyo bei yenye usd iko sawa hala tukiachana na maswala ya bei mimi nauliza wataalamu wa graphics, kama vfx,3d modelling and animation upendelea mac au computer yenye atleast 1.5 gb graphic card ya amd au getforce Nvidia
Ila intel ambayo utumika kwenye kompyuta nyingi hata kwenye mac hawashauri sama nataka kujua je kinachoangaliwa zaidi ni kipi kama ni jina au saizi maana nimeona Imac yenye intel hraphic card ya1.5 gb inatumika kwenye modelling na animation vipi hapa naitaji kuelewa
 

Attachments

  • 1473154780116.png
    1473154780116.png
    18 KB · Views: 42
  • 1473154788644.png
    1473154788644.png
    17.4 KB · Views: 43
mkuu usiangalie gpu kwa ram yake bila kujua aina ya ram utaingizwa mjini. umewahi jiuliza kwanini kuna ram ya gpu na ram ya kwaida ya laptop?

tuna ram kwenye gpu sababu ram za laptop hazina speed ya kutosha, laptop nyingi sasa hivi zinatumia ram za ddr3 na chache ddr4 wakati gpu nzuri zinatumia ddr5 (gddr5)

sasa unapoangalia tu ram ya gpu bila kujua inatumia ddr3 au ddr5 unaweza ukauziwa laptop ina vram 2g au hata 8gb kumbe ni ddr3 vram mwisho wa siku gpu inakuwa slow kushinda hata intel hd graphics.

na hizo mac nyingi gpu zake za intel si hizi za kawaida, zinatumia iris pro, zipo iris pro nzuri tu ambazo zinacompete na gpu za kati kama gtx 960m
 
mkuu usiangalie gpu kwa ram yake bila kujua aina ya ram utaingizwa mjini. umewahi jiuliza kwanini kuna ram ya gpu na ram ya kwaida ya laptop?

tuna ram kwenye gpu sababu ram za laptop hazina speed ya kutosha, laptop nyingi sasa hivi zinatumia ram za ddr3 na chache ddr4 wakati gpu nzuri zinatumia ddr5 (gddr5)

sasa unapoangalia tu ram ya gpu bila kujua inatumia ddr3 au ddr5 unaweza ukauziwa laptop ina vram 2g au hata 8gb kumbe ni ddr3 vram mwisho wa siku gpu inakuwa slow kushinda hata intel hd graphics.

na hizo mac nyingi gpu zake za intel si hizi za kawaida, zinatumia iris pro, zipo iris pro nzuri tu ambazo zinacompete na gpu za kati kama gtx 960m
Thanks
 
Back
Top Bottom