Kumbe huyu muhanga yuko DarNenda sapna posta pale kuna fundi mzuri tu anaitwa mr maloon ukifika pale muulizie utabadilishwa kioo chako
Ni kweli wana fundi mnzuri, ila bei duuuhNenda sapna posta pale kuna fundi mzuri tu anaitwa mr maloon ukifika pale muulizie utabadilishwa kioo chako
Au kama vp ukanunue ww kioo pale kko mtaa wa agrey afu utafute fundi wako cheap akuwekee tatizo la mafundi wa kko hawana ujuz wowote wanabadilisha kiujanja ujanja tuNi kweli wana fundi mnzuri, ila bei duuuh