Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1109000/ MSAADA WA MHIMU SANA WAZALENDO NISAIDIENI PLZ
0 Reactions
0 Replies
718 Views
Namuhitaji fundi atakaje nifundisha kutengeneza inclubetor mpaka nielewe na garama zake .kwa mawasiliano 0759547047
0 Reactions
2 Replies
932 Views
Wanajamvi naomba kuuliza....nimepata mfadhili ambaye amenunua mashine ya ultra sound marekani na anampango wa kuja nayo bongo....utaratibu ukoje?je itapaswa ilipiwe kodi iwapo atasafiri nayo kuja...
1 Reactions
1 Replies
836 Views
Habari! Blog yangu inasumbua sana, kwanza haipost video. Ukipost video basi inaleta image tu ya mwanzo ya video husika. Pili, nashindwa ku-signup kwenye Earnings kuruhusu Google Adsense ilihal...
0 Reactions
2 Replies
835 Views
Nilifungua Blog kwa njia rahis ya account yangu ya Google. Tatizo ni kwamba Template zote zinafanana na blog zote. Tofaut ni rangi tu za template, naomba msaada kwamba naweza kutumia Template za...
0 Reactions
2 Replies
693 Views
Natafuta adsense iliyowahi kutoa hela.Mwenye nayo tuwasiliane pm
0 Reactions
1 Replies
626 Views
Sina utaalamu wowote za kuangamiza virus kwenye computer zaid ya kutumia anti-virus program. Leo nilipeleka flash yangu stationary kadhaa ikagoma kufunguka ndio nikafikia moja hiyo hapa mjini na...
4 Reactions
12 Replies
6K Views
Hadi sasa nime google mpaka nimechoka, wadau mwenye experience ya kucheza games kwa kutumia usb au external kwenye x-box 360 naomba msaada. leh unahitjika
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habar zenu wakuu...naombeni mnijuZe ni games zipi zinakuwa na multiplayer kwenye smart phone yani mfano kama kwenye mpira tuna kuwa na simu mbili kila mtu anachagua timu yake lakn tuna cheza kwa...
0 Reactions
1 Replies
892 Views
Wakuu aman ya bwana iwe juu yenu. Me natumia iphone 6s, ni mwez sasa na siku kenda app ya JF imegoma kabsa kufunguka Kila niki refresh nambiwa no new topic. Hapa imebidi nifungue website ya jamii...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kampuni ya Simu inayoshindana na Tecno katika kutoa matoleo ya simu imetoa taarifa kuwa Simu yake ambayo ni mpya sokoni ya Samsung Galaxy Note 7 ina hitililafu na Kupelekea Kulipuka wakati wa...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari wakuu.. Nina simu yangu aina ya HISENSE imekufa screen touch yake, kwa fundi au mtu ambaye anaweza kuitengeneza tuwasiluane. Mimi niko kibaha, so kama uko tayari ni PM namba yako ili...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari,kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Nichek kwenye namba hizi 0755429928/0652247221. Nipo dodoma
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wadau...... Kwa wale ambao wataweza kuwa msaada kwa vitu viwili...... Kwanza ni kunisaidia kupata fundi mzuri wa kutengeneza laptop.......si hawa mafundi uchwara ambaye anagusagusa...
0 Reactions
0 Replies
707 Views
Wana jamvi naomba mwenye uelewa anijuze tofauti kati ya INFORMATIONTECHNOLOGY VS INFORMATIONCOMMUNICATION AND TECHNOLOGY kwa sabababu nashindwakuzitofautisha. Pia naomba kuuliza Bachelor of...
0 Reactions
0 Replies
549 Views
Ambae anaujuzi na mambo ya internet namtafta kuna kazi na inapesa nono kama unajua unauwezo basi nitafte kwa namba 0715047195
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za jumapili wadau, nimevutiwa na solo la mobile application na ninaamini hii ni moja ya teknolojia inayoweza kukuingizia kipato. Ninaomba kufahamishwa endapo nitaamua. kutengeneza...
0 Reactions
2 Replies
745 Views
Tuwasiliane PM kwa majadilianao zaidi
0 Reactions
3 Replies
834 Views
Habar zenu wana Jf. . Naombeni msaada wa kujua vitu gani na vinapatikana wapi na kwa kiasi gani kwa ajili ya geti la kutumia remote control
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Jamani wakuu naombeni msaada wa kujua ni software gani ya PC naweza itumia convert mp4 files kwenda DAT files coz nataka kuburn CD ya video lakini kila nikiweka nyimbo za mp4 kwenye ashampoo...
0 Reactions
23 Replies
9K Views
Back
Top Bottom