ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,146
- 7,683
Kuna Form nimepewa nahitaji kuitengeneza kwenye Micro.Excel msaada hatua zake
Najua vingi ila sijawahi creat form Mkuu kwenye ExcelUnajua nini kwenye computer? Tuanzie hapo
Ni insert Table mkuu itakaaje hapohiyo mbona kama unatakiwa ucheze nayo kwenye word mkuu
hio ni table na hivyo vibox ndani ni table pia ila ipo ndani ya table
![]()
mfano hapo mwanzo nenda insert table halafu eka row nne na column moja(usiongeze column) halafu zikuze ziwe kubwa kama form yako halafu click ndani ya table nenda tena insert table eka column 6 na row 1
angalia hii video
ni rahisi tu mkuu .... jaribu ku create tableNi insert Table mkuu itakaaje hapo
Kuweka maneno ndo shidani rahisi tu mkuu .... jaribu ku create table
its very very simple kijana ... jaribu jaribuKuweka maneno ndo shida
Kwenye word hivyo single box nimeshindwa kuweka na kutype mbele yakeNi rahisi sana kuitengeneza kwa kutumia Ms Office Word ! Otherwise scan and save it as PDF file ready for use !!
Kwenye word hivyo single box nimeshindwa kuweka na kutype mbele yake
Thankx na hilo neno NSSF CO.. hapo juu kabisa nawekaje pia baada ya hiyo table ya kwanza hiyo table ya pili ndogo naiwekaje kabla ya hiyo tble kubwaNenda kwenye INSERT then SHAPES ! Hapo chagua shape yenye umbo la box and then proceed !!
Thankx na hilo neno NSSF CO.. hapo juu kabisa nawekaje pia baada ya hiyo table ya kwanza hiyo table ya pili ndogo naiwekaje kabla ya hiyo tble kubwa
- Hilo neno si unaweka CURSOR katikati (Centre alignement) na kuchapa.
- Table unayozungumzia tumia option ya shapes ndio itakuwa raisi kwako rather than using insert table option, meaning unainsert kiboksi na kukitanua then unainsert horizontal na verticle line/shapes.