Good People
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 938
- 1,819
Wakuu naomba msaada namna ya Kusign CV Online nimeambiwa nitume signed CV.
Mkuu pesa zinaisha nimetoka kuscan Vyeti zaidi ya Saba ambavyo nimeliwa pesa nyingi kwa mwanasheria Ngoja nitatafuta baadaye kwenye youtube kama naweza Ku sign Online.Sijajua tatizo lako ni nini. Si unaweka sahihi kwenye CV then unascan na kutuma?
Mkuu pesa zinaisha nimetoka kuscan Vyeti zaidi ya Saba ambavyo nimeliwa pesa nyingi kwa mwanasheria Ngoja nitatafuta baadaye kwenye youtube kama naweza Ku sign Online.
1.Masters!
!
Elimu yako tafadhali ili nitoe ushauri stahiki. Vyeti saba? vya ubatizo na kipaimara usingeviscan umepoteza hela bure. Na hicho cha graduation ya dini sio cha muhimu.
1.Masters
2.Masters Transcript
3.Degree
4.Degree transcript
5.Advanced level
6Form Four
7.Computer
Mkuu pesa zinaisha nimetoka kuscan Vyeti zaidi ya Saba ambavyo nimeliwa pesa nyingi kwa mwanasheria Ngoja nitatafuta baadaye kwenye youtube kama naweza Ku sign Online.
Hapana hili ni CRDB internalLilikuwa ni tangazo la zoom mkuu?[emoji1]
Nilifikiri ni zoom nilitaka nikutie moyo kuwa umeshapata kazi tayari![emoji1]Hapana hili ni CRDB internal
We K hakuna unachokijua ungejibu hapa huku ndo kujifunza Mbwa wewe!
Acha kupanic ndo unasaidiwa hivyo, kwa hizo mastazi za kurithi bora angezikwa nazo tu marehemu. Kifupi ni kwamba zipo kwenye vyeti tu na sio kwa bichwa, labda kama hiyo kazi umeahidiwa mradi vyeti tu.We K hakuna unachokijua ungejibu hapa huku ndo kujifunza Mbwa wewe!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapana hili ni CRDB internal
Punguza povu kijana, jifunze kupambana kwa hoja kwa crushing comments za jfWe K hakuna unachokijua ungejibu hapa huku ndo kujifunza Mbwa wewe!
Kwa matendo ya Lipumba anayoyafanya, siwezi kushangaa huyo kifafa kuwa masters!
!
mastaz nyingine bwana...eti haijui iwekeje signature kwenye vyeti vya kutuma kwa email. Eti internal....internal uwe wewe? ukijitahidi sana labda teller, vinginevyo ukagawe chai chai nini na kupeleka mafile boya wewe.
Mastaz iwe na ubongo wa kuku kama huu wako? mastaz ya wapi hiyo mzee hahahahaha dah kuna watu aisee
Mbona Lipumba ni Profesa?!
!
mastaz nyingine bwana...eti haijui iwekeje signature kwenye vyeti vya kutuma kwa email. Eti internal....internal uwe wewe? ukijitahidi sana labda teller, vinginevyo ukagawe chai chai nini na kupeleka mafile boya wewe.
Mastaz iwe na ubongo wa kuku kama huu wako? mastaz ya wapi hiyo mzee hahahahaha dah kuna watu aisee