Tatizo la "Call Not Sent" kwenye Galaxy Note 3

Tatizo la "Call Not Sent" kwenye Galaxy Note 3

hbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2011
Posts
678
Reaction score
298
Habari,

Nina simu nimeletewa kutoka South Africa, ila nikiweka laini ya mtandao wowote wa Tanzania inanialetea meseji "Call not Sent" napotaka kupiga simu au kuangalia salio.
Ila kwenye alama ya mnara inaonesha iko "full". Pia nikiangalia kwenye "Settings", "Mobile Networks" inaleta ujumbe "Insert SIM card to access network services".

Ambaye anajua ufumbuzi wa tatizo hili msaada unahitajika. Asanteni.
 
Back
Top Bottom