mikumiyetu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 1,312
- 947
Habari ya jumapili wakubwa,hivi naweza kupata smartphone nzur ya bei ya laki mbili,isiwe tecno au itel
Ni laki mbili dukani auSamsung j1
Nina j2 yangu naiuza laki 2 bila punguzo mpk sasa ina miez miwili tu tangu niinunue...sababu ya kuuza nimepata nyingine kama zawad ambayo ni S6Habari ya jumapili wakubwa,hivi naweza kupata smartphone nzur ya bei ya laki mbili,isiwe tecno au itel
mkuu nicheki unitumie nione 0718126228Nina j2 yangu naiuza laki 2 bila punguzo mpk sasa ina miez miwili tu tangu niinunue...sababu ya kuuza nimepata nyingine kama zawad ambayo ni S6
Akutumie simu yenyewe au picha ya hiyo simumkuu nicheki unitumie nione 0718126228
hahahah picha broAkutumie simu yenyewe au picha ya hiyo simu
Kwa laki Mbili?[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]IPhone 6s plus
Habari ya jumapili wakubwa,hivi naweza kupata smartphone nzur ya bei ya laki mbili,isiwe tecno au itel
Ni laki mbili dukani au
hapo sawahahahah picha bro
simu au pamboSimu nzuri kwa pesa hiyo mi nakushauri uchukue tecno W4 specs zake ni hizi hapa :-
1GB Ram
16GB Internal Memory
8.0 M.P Back Camera
2.0 M. P Front Camera
1.3 Ghz Quad Core
6.0 Marshmallow Android Version
3G/4G Network
5.0" Display
2500mAh Battery Capacity
200,000 Tsh Price
Ukiwa tayari waweza kuni-pm ni brand new boxed with everything i.e accessories.
Simu nzuri kwa pesa hiyo mi nakushauri uchukue tecno W4 specs zake ni hizi hapa :-
1GB Ram
16GB Internal Memory
8.0 M.P Back Camera
2.0 M. P Front Camera
1.3 Ghz Quad Core
6.0 Marshmallow Android Version
3G/4G Network
5.0" Display
2500mAh Battery Capacity
200,000 Tsh Price
Ukiwa tayari waweza kuni-pm ni brand new boxed with everything i.e accessories.
Simu nzuri kwa pesa hiyo mi nakushauri uchukue tecno W4 specs zake ni hizi hapa :-
1GB Ram
16GB Internal Memory
8.0 M.P Back Camera
2.0 M. P Front Camera
1.3 Ghz Quad Core
6.0 Marshmallow Android Version
3G/4G Network
5.0" Display
2500mAh Battery Capacity
200,000 Tsh Price
Ukiwa tayari waweza kuni-pm ni brand new boxed with everything i.e accessories.
Nikupe Samsung Galaxy Core Prime DuosHabari ya jumapili wakubwa,hivi naweza kupata smartphone nzur ya bei ya laki mbili,isiwe tecno au itel
Nichek 0755957515 uchukue hii J2Habari ya jumapili wakubwa,hivi naweza kupata smartphone nzur ya bei ya laki mbili,isiwe tecno au itel