Whatsapp GB na whatsapp ya kawaida

Whatsapp GB na whatsapp ya kawaida

teac kapex

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
470
Reaction score
137
Wapendwa kuna tofauti gani kati ya whatsapp nilizotaja hapo juu na nini faida ya kutumia whatsapp GB Naomba kuwasilisha
 
Hapo kweli sijaelewa sijajua tofauti ni nini na faida zake hass
 
Inaitwa "GB Whatsapp" sio "whatsapp GB"..

Binafsi natumia zote mbili kwa wakati mmoja.

Faida ya GB Whatsapp ni kuwa.

1. Unaweza ku customise muonekano wa whatsapp yako, yaani kuibadili rangi yoyote unayotaka, tofauti na ile whatsapp ya playstore ambayo inakulazimu uzoee rangi ya kijani.

2. Hakuna Limit ya kutuma picha nyingi kwa pamoja. Yaani mfano ile whatsapp ya kawaida unaweza ku select picha kumi tu ukazituma kwa pamoja. Kwenye GB whatsapp hakuna limit unaweza hata uka select picha mia moja zikaenda kwa pamoja.

3. Kwenye GB whatsapp unaweza kutuma video yenye uzito mkubwa bila tatizo lolote.

4. Nne kuna ki pop up icon kinachotokea kaniambia nani yupo online muda na wewe ukiwa online..

Zipo features nyingi "distinct" na whatsapp ya kawaida ila ki ufupi ni hizo.

Najua nimewaelewesha na wengine ambao hawakuwa wanaifahamu.
 
Inaitwa "GB Whatsapp" sio "whatsapp GB"..

Binafsi natumia zote mbili kwa wakati mmoja.

Faida ya GB Whatsapp ni kuwa.

1. Unaweza ku customise muonekano wa whatsapp yako, yaani kuibadili rangi yoyote unayotaka, tofauti na ile whatsapp ya playstore ambayo inakulazimu uzoee rangi ya kijani.

2. Hakuna Limit ya kutuma picha nyingi kwa pamoja. Yaani mfano ile whatsapp ya kawaida unaweza ku select picha kumi tu ukazituma kwa pamoja. Kwenye GB whatsapp hakuna limit unaweza hata uka select picha mia moja zikaenda kwa pamoja.

3. Kwenye GB whatsapp unaweza kutuma video yenye uzito mkubwa bila tatizo lolote.

4. Nne kuna ki pop up icon kinachotokea kaniambia nani yupo online muda na wewe ukiwa online..

Zipo features nyingi "distinct" na whatsapp ya kawaida ila ki ufupi ni hizo.

Najua nimewaelewesha na wengine ambao hawakuwa wanaifahamu.
Mkuu tupe link mkuu... na hiyo number 4 mbona WhatsApp ya kawaida ipo..
 
Inaitwa "GB Whatsapp" sio "whatsapp GB"..

Binafsi natumia zote mbili kwa wakati mmoja.

Faida ya GB Whatsapp ni kuwa.

1. Unaweza ku customise muonekano wa whatsapp yako, yaani kuibadili rangi yoyote unayotaka, tofauti na ile whatsapp ya playstore ambayo inakulazimu uzoee rangi ya kijani.

2. Hakuna Limit ya kutuma picha nyingi kwa pamoja. Yaani mfano ile whatsapp ya kawaida unaweza ku select picha kumi tu ukazituma kwa pamoja. Kwenye GB whatsapp hakuna limit unaweza hata uka select picha mia moja zikaenda kwa pamoja.

3. Kwenye GB whatsapp unaweza kutuma video yenye uzito mkubwa bila tatizo lolote.

4. Nne kuna ki pop up icon kinachotokea kaniambia nani yupo online muda na wewe ukiwa online..

Zipo features nyingi "distinct" na whatsapp ya kawaida ila ki ufupi ni hizo.

Najua nimewaelewesha na wengine ambao hawakuwa wanaifahamu.
Asante umejibu vizuri mkuu
 
Back
Top Bottom