Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

kama unaweza kuandika html/java script codes ni chek whatsapp 0672972307 fasta nina kaz kwa ajili yako malipo tutaongea
0 Reactions
4 Replies
831 Views
Wakuu naomba Msaada, app ya fb kwenye adroid imeanza kuzingua ghafla ku log in, kama ambavyo inaonesha kwenye screen shot, kuwa tatizo ni internate, wakat net iko vizur. Msaada wenu tafadhari
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi natumia simu ya smart ya voda ya laini moja,ninataka nitumie kwa mitandao mingine pia.Nawezaje Ku unlock simu hii. Naomba Msaada.
0 Reactions
1 Replies
630 Views
wakuu habar? simu yangu ina shiiida yaan kuna maneno CLICK EXIT yanatoke kwa chini then simu inastaki kwa sekunde 30 hvi then ndo itafanya kazi tena..nakelwa sana jaman naomba msaada wa jinsi ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Salamu ndugu. Nina laptop kila nikifungua inaniambia window failed to connect to service, na kila nikiplay wimbo hauanzi kawaida sekunde za mwanzo kuna vitu kama mawingu hivi na sauti haitoki...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Habari wana JF Kwa bahati mbaya nili format Hard drive yangu ,nikaitoa na kuweka nyingine mpya kwenye laptop,kwa sasa nataka kuitumia kama external hard drive,na ninataka ku recover documents...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hivi mfano my computer iko compatible with window xp afu nikaipiga window 7 au 8 itakubali au????
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Natumia win 7, nataka ku-edit 'hosts' file ndani ya 'windows' folder ukiingia 'Drive C'. Lakini kila niki-save inakataa. Inasema am not allowed. Nipeni njia wakuu. Asanteni.
1 Reactions
22 Replies
2K Views
wakuu wana jf wataalamu wa hizi mambo, naomba kujua naweza kupata wapi app itakayoniwezesha kusoma comic books kwenye smartphone, coz nikivifungua hivi vitabu naambiwa not supported, so msaada...
0 Reactions
5 Replies
826 Views
Wakuu naombeni mnifahamishe hivi vyombo vinakaaje huko juu bila kuwekwa mafuta na marekebisho mengine ili viizunguke dunia na kusaidia mawasiliano hapa duniani. Ni kwamba huwa zinashushwa...
3 Reactions
74 Replies
11K Views
How To Recover Deleted Files (10 BEST Freeware Tools) Sometimes we accidentally deleted important files. At times, our thumb drive/stick becomes corrupt. Any how, it isn't fun when we lose...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hey, let's switch to Wasup Gold messenger: Wasup Gold messenger - Android Apps on Google Play
0 Reactions
1 Replies
736 Views
Habari wana JF simu yangu inapata moto sana hasa ninapotumia mitandao au hata ikiwa mfukoni tu. Nimejaribu kudownload appl ya kupoza lakini doesn't work. Hii ina athari gani? Nini cha kufanya...
0 Reactions
1 Replies
677 Views
Simu pendwa apo juu,natafta set ya kioo chake....
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wakuu. Katika pita pita zangu nimekutana na hii modemu sema sijaiona walau nii google niione specification zake ila ina 3G/4G. Nilitaka kujua ni shi ngapi? Waliowahi zitumia je zinafaa ku...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kampuni ya samsung leo wamezindua simu yao inayoitwa samsung z2, simu hii haitakuwa na android kama ilivyozoeleka kwa simu za samsung, bali itakuwa na operating system ya samsung wenyewe inayoitwa...
8 Reactions
52 Replies
7K Views
Simu inagoma kucheza video zinazotumwa Whatsupp tu, lkn kwenye kwengine hamna shida. Msaada please
0 Reactions
5 Replies
949 Views
Kwa wanaojua hiyo machine inasimama how much?
0 Reactions
0 Replies
494 Views
Wakati na edit na ku update post sipati nafasi ya ku edit heading. Plz anaejua naomba anifundishe. Pia nielekezeni namna ya kuweka signature na emoji.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau naomba mnambie namna ya ku-unroot cm maana nliifanyia rooting then nkaiformat but had nw rooting ipo!!! Naomben msaada namna ya kuitoa
0 Reactions
25 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…