Simu yangu inaandika "Click exit please" halafu inazima

Simu yangu inaandika "Click exit please" halafu inazima

Kajole

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2011
Posts
1,668
Reaction score
1,660
wakuu habar? simu yangu ina shiiida yaan kuna maneno CLICK EXIT yanatoke kwa chini then simu inastaki kwa sekunde 30 hvi then ndo itafanya kazi tena..nakelwa sana jaman naomba msaada wa jinsi ya kutoa


angalia
1475834936506.png
 
inaonekana kama ni matangazo, yanatokea popote? unatumia simu gani?
 
Tecno c9 linatoa kwa chini na nikuwasha data tu
 
Tecno c9 linatoa kwa chini na nikuwasha data tu
hao ni malware wa adware kuna app ndani ya simu inasababisha hivyo. cheki list ya app ulizodownload halafu angalia app usioijua itoe. then angalia kama tatizo litaisha
 
Ilishawai tokea kwenye simu ya mdogo wangu bora yako wewe inastak ndani ya sekunde 30 yake ilikuwa ikishatokea neno exit hapo ndo utumii tena net,baada ya kuflash tatizo likaisha
 
Adverts zinazowork as virus...

Uninstall apss ambazo zina ads
 
hao ni malware wa adware kuna app ndani ya simu inasababisha hivyo. cheki list ya app ulizodownload halafu angalia app usioijua itoe. then angalia kama tatizo litaisha
mkuu ni kwel kuna app inaitwa LUTU sijui hata limetoka wap kila nkilito baada ya muda imerud tna yenyewe sijui hata nafanyaje
1475848114283.png
 
mkuu ni kwel kuna app inaitwa LUTU sijui hata limetoka wap kila nkilito baada ya muda imerud tna yenyewe sijui hata nafanyajeView attachment 414082

kama unaitoa inarudi yenyewe inamaana hicho ni kitawi tu software mama IPO kwengine kila ukiitoa hio inarudi.

simu za mediatek zina loop app inaweza kujipa root hata kama hujaroot simu, na app ikipata root inaweza kujieka kama system app hivyo hapa hata factory reset Inaweza isisaidie.

solution hapa jaribu hivi
1. kuflash simu kutaondoa hilo tatizo kama alivyosema mdau hapo juu

2. tumia box zenye ant virus, utahitaji PC na uwezo kidogo wa kutumia computer google miracle box crack download zima ant virus halafu fungua miracle connect simu na PC halafu zima simu, Fanya kama unawasha simu, itakuwa detected kwenye miracle chagua ant virus halafu scan watatolewa
 
asante sana mkuu...naona option ya kwanza ni rahisi zaid ngoja nifanye hivyo then ntarud na feedback
 
kama unaitoa inarudi yenyewe inamaana hicho ni kitawi tu software mama IPO kwengine kila ukiitoa hio inarudi.

simu za mediatek zina loop app inaweza kujipa root hata kama hujaroot simu, na app ikipata root inaweza kujieka kama system app hivyo hapa hata factory reset Inaweza isisaidie.

solution hapa jaribu hivi
1. kuflash simu kutaondoa hilo tatizo kama alivyosema mdau hapo juu

2. tumia box zenye ant virus, utahitaji PC na uwezo kidogo wa kutumia computer google miracle box crack download zima ant virus halafu fungua miracle connect simu na PC halafu zima simu, Fanya kama unawasha simu, itakuwa detected kwenye miracle chagua ant virus halafu scan watatolewa
Shukrani kwa hili mkuu
 
Ni aina gan hyo ya simu mkuu, kama ni LG bas unahitaji kufanya hard reset then nenda clear caches kwenye partition kwa kutumia hard reset
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom