God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,068
Habari wakuu.
Katika pita pita zangu nimekutana na hii modemu sema sijaiona walau nii google niione specification zake ila ina 3G/4G.
Nilitaka kujua ni shi ngapi?
Waliowahi zitumia je zinafaa ku flash? maana lengo langu ni kutumia mitandao yote.
Katika pita pita zangu nimekutana na hii modemu sema sijaiona walau nii google niione specification zake ila ina 3G/4G.
Nilitaka kujua ni shi ngapi?
Waliowahi zitumia je zinafaa ku flash? maana lengo langu ni kutumia mitandao yote.