Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 338
Habari wana JF
Kwa bahati mbaya nili format Hard drive yangu ,nikaitoa na kuweka nyingine mpya kwenye laptop,kwa sasa nataka kuitumia kama external hard drive,na ninataka ku recover documents, picha na mafaili yote, je nitumie software gani kuweza ku recover vyote hivyo?
Natanguliza shukrani zangu kwa msaada utakao weza kupatikana kwa haraka.
Kwa bahati mbaya nili format Hard drive yangu ,nikaitoa na kuweka nyingine mpya kwenye laptop,kwa sasa nataka kuitumia kama external hard drive,na ninataka ku recover documents, picha na mafaili yote, je nitumie software gani kuweza ku recover vyote hivyo?
Natanguliza shukrani zangu kwa msaada utakao weza kupatikana kwa haraka.