kim prince msofe
Senior Member
- Feb 27, 2015
- 154
- 44
Hivi mfano my computer iko compatible with window xp afu nikaipiga window 7 au 8 itakubali au????
Poa Kaka hivi ndani ya window cindio unakuta na hizi Microsoft office maana mi cio mwenyeji sana wa hizi window7 saws lkn CIO 8
Itakubali but itakuwa nzito saanaaHivi mfano my computer iko compatible with window xp afu nikaipiga window 7 au 8 itakubali au????
Duuuu aiseeeItakubali but itakuwa nzito saanaa
hapana, baada ya kuweka windows mpya, ndio utaanza kuinstall hizo kina- microsoft officePoa Kaka hivi ndani ya window cindio unakuta na hizi Microsoft office maana mi cio mwenyeji sana wa hizi window
Ni Hp ram 512MB,Weka speciation za pc yako
Ina depend na windows cuz window ten driverz zote zipoo ndaniihapana, baada ya kuweka windows mpya, ndio utaanza kuinstall hizo kina- microsoft office
hiyo RAM mkuu ndogo sana aiseeNi Hp ram 512MB,
uzito gan i.e from 1kg-4kgItakubali but itakuwa nzito saanaa
Kumb hapo inabd nitumie xp tuu ciohiyo RAM mkuu ndogo sana aisee
kwa uelewa wangu mdogo kwenye mambo ya pc, hapo naona inafaa windows XP.Kumb hapo inabd nitumie xp tuu cio
Ahsante hivi kweny xp ukishaiweka unaikuta na software kama Microsoft office zile au??kwa uelewa wangu mdogo kwenye mambo ya pc, hapo naona inafaa windows XP.
ukitaka win 7, 8 na kuendelea RAM iwe 1GB, 2GB au zaidi.
Ahaa kumbeeeItakubali sema kama Ram ni less then two Gbs itakuwa nzito, pia kingine itasumbuliwa na drivers za sound and internet