Hii aina ya modem imenipa kazi sana ku-unlock na bado sijafanikiwa. Kuna toturial za ku-unlock hii moderm kwa dc unlocker lakin kwa hii aina ya modem lazima ulipie.
Wataalamu wenye ujuzi wa...
Ndugu wanajamvi.
Katika pitapita zangu mtandaoni nimkutana na Cyber Class inayotolewa na TZ-CERT (Timu ya Mwitikio wa Kukabili Majanga ya Kompyuta Tanzania). Katika darasa hilo linalopatikana hapa...
Wadau nina simu iphone4 toka Japan nimepewa zawadi lakini inagoma kusoma mitandao ya huku. Mwenye kujua wapi naweza kuifungua na kwa gharama gani anijuze. Au ndo haiwezi fanya kazi niwape watoto...
Habari zenu Professionals
Naomba msaada LAPTOP yangu inakataa kusoma DVD ninataka Ku burn haisomi kila DVD empty nikiweka inaanyesha X kwamaana hairambui..nimrjaribu aina nyingi za DVD lkn wapi...
Shida yangu ni kwamba
Nina magroup ya whatsapp kama 10 sasa sipendi kuona jinsi watu wanavyoendelea kuchat maana napata notification nyingi zinanipa disturbance katika shughuli zangu,sitaki ku...
Kufungua application zinazotaka administrator privileges, au application ambazo hazifunguki mpaka uzi run as administrator, kwa ku right click app husika na kuchagua kutoka kwenye dropdown menu...
Habari wana JF!
Kuna hii Protocol wameanzisha CRDB kukutaka usajili Card yako na VBV/Secured Code,awali mimi nilikua na Master Card ambayo nafikiri nilisajili 2014 na ulikua unajaza Form tu then...
Habar wadau wa JF.. Natumain wkiend imeendaa poaa ya sartdy... Shdaa yang n kwamba nime install pes game kwny pc yang lakn cha ajabu game limekataa ku run on window 7 nkifungua inanambia...
Naomba msaada..
Niliacha PC yangu nyumbani kwa mdogo wangu sasa nimekuta yafuatayo .
1.desktop icon zote zimehamia kulia....
2.program zote zipo kama kawaida lakini nikizifungua ni kama ndo...
Pc yangu imezima ghafla na kujiwasha,mara tu baada ya kuwaka imepoteza sauti na kuweka alama X ile sehem ya kuongezea sauti,hii ni baada ya kumpa dogo atumie,then dogo alichomeka waya flan hiv wa...
Wakuu wa jukwaa la manufaa habari zenu,naomba kujuzwa kama kuna mbadala wa kuchuma mapato online kupitia internet zaidi ya Google Adsens na ni namna gani ya kujiunga na ni vipi unanufaika...
Habari wana tech,
Leo tufahamishane kuhusu wifi hotspot zenye login page, mara nyingi hufahamika kama captive portal, hii mifumo hutumika sana kwenye migahawa ya kisasa na mahoteli ya kisasa, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.