How To Recover Deleted Files (10 BEST Freeware Tools)
Sometimes we accidentally deleted important files. At times, our thumb drive/stick becomes corrupt.
Any how, it isn't fun when we lose...
Habari wana JF simu yangu inapata moto sana hasa ninapotumia mitandao au hata ikiwa mfukoni tu. Nimejaribu kudownload appl ya kupoza lakini doesn't work.
Hii ina athari gani?
Nini cha kufanya...
Habari wakuu.
Katika pita pita zangu nimekutana na hii modemu sema sijaiona walau nii google niione specification zake ila ina 3G/4G.
Nilitaka kujua ni shi ngapi?
Waliowahi zitumia je zinafaa ku...
kampuni ya samsung leo wamezindua simu yao inayoitwa samsung z2, simu hii haitakuwa na android kama ilivyozoeleka kwa simu za samsung, bali itakuwa na operating system ya samsung wenyewe inayoitwa...
habar wa na jf,kuna iphone 4s inachaj ikiwa off tuu ikiwaka haijichaj tena ..chaj pot n nzma battery ni nzima nashindwa elewe nn tatzo mwenye kujua ili naomba msaada
habari za jioni wanajukwaa,
Ni miezi miwili sasa imepita toka nilipoibiwa simu zangu kwa wezi kuvunja dirisha na kuchukua simu mbili pamoja na TV, pamoja na kupeleka IMEI number polisi, bado...
Wadau na wataalamu wa masuala ya computer, namiliki Laptop aina ya HP. Nilinunua ikiwa na Windows 8.1 na baada ya kupata notification ya free upgrade nikaamua kuhamia windows 10 Home. Tatizo...
Habari wataalamu....
ebana nina shida kuhusu application ya computer inayomuwezesha mtu kuzama tv online,mfano katika smartphone kuna app nyingi mfano 'UKtvnow' ni moja ya app inayomuwezesha mtu...
Habari za weekend wanajamvi, mi ni network administrator katika taasisi ya serikali,napata changamoto ya network& bandwidth monitoring, nimejaribu PRTG na Nagios ambazo ni free ila changamoto ni...
Habarini wandugu,,naomba msaada wa kuweza kuinstall google app store kwenye simu ambayo manufacture yake yaliKuwa kwa matumizi ya nchi ya China, ,,aina ya simu ni Samsung A7
Baada ya misukosuko ya Toleo lao jipya la simu yake ya Galaxy Note7, kampuni ya Samsung inajiandaa kutoa simu mpya ya Galaxy s8 mapema mwakani kati ya January au february 2017.
Tetesi zinasema...
Wakuu kama ilivyoada, kila simu, desktop, ipad/tablet, mini laptop, laptop na vifaa vingine vvyote vina IP address (Internet Protocal address).
Hii inamanisha wakati tunatumia internet basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.