Msaada: Leo nimecheki IP address ya computer yangu online sijafanikiwa kuona details zangu.

God'sBeliever

JF-Expert Member
Sep 1, 2015
5,790
3,020
Wakuu kama ilivyoada, kila simu, desktop, ipad/tablet, mini laptop, laptop na vifaa vingine vvyote vina IP address (Internet Protocal address).
Hii inamanisha wakati tunatumia internet basi service provide wetu anaona request zetu kwa kutumia hiyo IP address!
Pia kwa wale wanaotumia wi fi mnaweza ona IP address ya vifaa vinavyotumia internet yako.

Sasa nijuavyo mimi, kwa kutumia hii IP address utapata details za muhusika ikiwemo kifaa chake, location, namba yake ya simu na habari nyingine kibao, IP address ni njia nzuri ya kumtrack mtu wako unaemtafuta.

Sasa leo nime weka hiyo address ya Computer yangu google nika search sijapata positive result, nikisearch kama website haifungui japo computer yangu ipo online!

Wana JF naombeni mnipe ushauri zaidi nipate namna ya kutambua details zangu kama hao service provide na TCRA wanavyopata taarifa zetu.

Natanguliza shukrani.
 
Mkuu IP inayotumika internet ni ile uliopewa na ISP wako, mfano Tigo, we unasearch IP IPI? kujua IP yako just google what is my ip

na kibongo bongo IP tunashare sio kila MTU ana yake
wadau msaada jinsi ya kupiga window 8 kwa kutumia cd je nitafanyaje na nataka kuweka window 8 kutoka window 7 kwenye laptop dell
 
details utakazopata google ni mtandao unaotumia e.g TTCL mahali ulipo e.g DSM/Tanzania na kama utatumia advanced tools wataweza kukupa operating system ya device unayotumia e.g Android mashmallow labda pamoja na Browser yako e.g Chrome!
Jaribu kama ile site ya speedtest ya Vodacom itakupa details kama hizo

Hauwezi kutembelea IP adress yako kama URL ikakubali kufunguka e.g http://197.250.192.139 (ambayoni IP adress ya kweli ya Vodacom) haitofunguka regardless computer yako kuwa Online sababu sisi Internet zetu tunazotumia wame Block hizo port forwarding na hicho unachokua unajaribu kutembelea maana yake ni web server inayo listen connections kwenye port 80!

Ila kama upo kwenye broadband internet waweza fanya port forwarding kwenye router yako e.g ukitaka pc yako iwe web server itabidi uhakikishe Port 80 iwe forwarded waweza kucheki hilo katika tovuti ya canYouSeeMe Open Port Check Tool
na hili litawezekakana iwapo utajaribu access hiyo web server kwenye local area network.

kama utaitaji watu wengine nje ya network yako ku acess URL inakubidi kulipia huduma za static IP adress ambayo sasa hii ukiwa nayo nahisi inakua imesajiliwa kwako kuna probability ya mtu kumjua mmiliki wa hiyo ip

Ila kusema eti upate details za namba ya simu ya mtumiaji hicho kitu hamnaga labda Internet service provider kwenye logs zao wanaweza ona IP adress fulani ilitumiwa na mtu fulani mda fulani ila nafikiri its challenging!
 
details utakazopata google ni mtandao unaotumia e.g TTCL mahali ulipo e.g DSM/Tanzania na kama utatumia advanced tools wataweza kukupa operating system ya device unayotumia e.g Android mashmallow labda pamoja na Browser yako e.g Chrome!
Jaribu kama ile site ya speedtest ya Vodacom itakupa details kama hizo

Hauwezi kutembelea IP adress yako kama URL ikakubali kufunguka e.g http://197.250.192.139 (ambayoni IP adress ya kweli ya Vodacom) haitofunguka regardless computer yako kuwa Online sababu sisi Internet zetu tunazotumia wame Block hizo port forwarding na hicho unachokua unajaribu kutembelea maana yake ni web server inayo listen connections kwenye port 80!

Ila kama upo kwenye broadband internet waweza fanya port forwarding kwenye router yako e.g ukitaka pc yako iwe web server itabidi uhakikishe Port 80 iwe forwarded waweza kucheki hilo katika tovuti ya canYouSeeMe Open Port Check Tool
na hili litawezekakana iwapo utajaribu access hiyo web server kwenye local area network.

kama utaitaji watu wengine nje ya network yako ku acess URL inakubidi kulipia huduma za static IP adress ambayo sasa hii ukiwa nayo nahisi inakua imesajiliwa kwako kuna probability ya mtu kumjua mmiliki wa hiyo ip

Ila kusema eti upate details za namba ya simu ya mtumiaji hicho kitu hamnaga labda Internet service provider kwenye logs zao wanaweza ona IP adress fulani ilitumiwa na mtu fulani mda fulani ila nafikiri its challenging!
Nimependa sana Maelezo yako
 
details utakazopata google ni mtandao unaotumia e.g TTCL mahali ulipo e.g DSM/Tanzania na kama utatumia advanced tools wataweza kukupa operating system ya device unayotumia e.g Android mashmallow labda pamoja na Browser yako e.g Chrome!
Jaribu kama ile site ya speedtest ya Vodacom itakupa details kama hizo

Hauwezi kutembelea IP adress yako kama URL ikakubali kufunguka e.g http://197.250.192.139 (ambayoni IP adress ya kweli ya Vodacom) haitofunguka regardless computer yako kuwa Online sababu sisi Internet zetu tunazotumia wame Block hizo port forwarding na hicho unachokua unajaribu kutembelea maana yake ni web server inayo listen connections kwenye port 80!

Ila kama upo kwenye broadband internet waweza fanya port forwarding kwenye router yako e.g ukitaka pc yako iwe web server itabidi uhakikishe Port 80 iwe forwarded waweza kucheki hilo katika tovuti ya canYouSeeMe Open Port Check Tool
na hili litawezekakana iwapo utajaribu access hiyo web server kwenye local area network.

kama utaitaji watu wengine nje ya network yako ku acess URL inakubidi kulipia huduma za static IP adress ambayo sasa hii ukiwa nayo nahisi inakua imesajiliwa kwako kuna probability ya mtu kumjua mmiliki wa hiyo ip

Ila kusema eti upate details za namba ya simu ya mtumiaji hicho kitu hamnaga labda Internet service provider kwenye logs zao wanaweza ona IP adress fulani ilitumiwa na mtu fulani mda fulani ila nafikiri its challenging!

Mkuu mimi nimecheki ya kwangu imenipa hadi location kwenye map. Yani mtu akitaka kunipata ni rahisi sana. Je kuna njia za kuzuia mtu asikuone?
 
Mkuu mimi nimecheki ya kwangu imenipa hadi location kwenye map. Yani mtu akitaka kunipata ni rahisi sana. Je kuna njia za kuzuia mtu asikuone?
Ndio location inaoneshwa na hakuna mtu atakaekutafuta kwa hiyo IP adress yako sababu uki disconnect internet unabadilishiwa IP adress!

Kitu kingine hizo data huwa nazi Doubt mfano mm niko Tandaimba ila nkicheki Details za IP adress yangu naambiwa location ni DSM which is not true sijui kama watu wengine walioko nje Dar wana notice hiki kitu!
 
Ndio location inaoneshwa na hakuna mtu atakaekutafuta kwa hiyo IP adress yako sababu uki disconnect internet unabadilishiwa IP adress!

Kitu kingine hizo data huwa nazi Doubt mfano mm niko Tandaimba ila nkicheki Details za IP adress yangu naambiwa location ni DSM which is not true sijui kama watu wengine walioko nje Dar wana notice hiki kitu!

Ina save data zako kwa siku 28 kwahiyo ata ukizima data zako zinabaki.
 
Wakuu kama ilivyoada, kila simu, desktop, ipad/tablet, mini laptop, laptop na vifaa vingine vvyote vina IP address (Internet Protocal address).
Hii inamanisha wakati tunatumia internet basi service provide wetu anaona request zetu kwa kutumia hiyo IP address!
Pia kwa wale wanaotumia wi fi mnaweza ona IP address ya vifaa vinavyotumia internet yako.

Sasa nijuavyo mimi, kwa kutumia hii IP address utapata details za muhusika ikiwemo kifaa chake, location, namba yake ya simu na habari nyingine kibao, IP address ni njia nzuri ya kumtrack mtu wako unaemtafuta.

Sasa leo nime weka hiyo address ya Computer yangu google nika search sijapata positive result, nikisearch kama website haifungui japo computer yangu ipo online!

Wana JF naombeni mnipe ushauri zaidi nipate namna ya kutambua details zangu kama hao service provide na TCRA wanavyopata taarifa zetu.

Natanguliza shukrani.

Unapokua connected kwenye internet unakuwa assigned private IP address kutoka kwa ISP wako.
Ukitaka kujua ip address yako unayotumia kwa mda huo katika computer yako fungua command prompt (CMD) na kuandika ipconfig hapo ndo utaweza kujua ip address ambayo unaitumia.
Kumbuka hii private IP address ambayo umepewa kuitumia kwa muda haiwezi kutumika kutuma request kupitia internet. Ili uweze kurequest services over the Internet unahitaji uwe na public IP address. Hapa namaanisha hivi mfano kwa computer yako umefungua facebook.com sio kwamba IP address ya computer yako ndo imerequest webserver za Facebook la hasha bali ni IP address ya ISP wako.
Kwa hiyo hata kama utagoogle kujua IP address utaletewa IP address ya ISP (global address) wako ambayo inatumika kuforward na kureturn request ya computer yako.
Kwa hiyo ni sahihi kabisa kutoiona IP address yako ulivyogoogle.
 
details utakazopata google ni mtandao unaotumia e.g TTCL mahali ulipo e.g DSM/Tanzania na kama utatumia advanced tools wataweza kukupa operating system ya device unayotumia e.g Android mashmallow labda pamoja na Browser yako e.g Chrome!
Jaribu kama ile site ya speedtest ya Vodacom itakupa details kama hizo

Hauwezi kutembelea IP adress yako kama URL ikakubali kufunguka e.g http://197.250.192.139 (ambayoni IP adress ya kweli ya Vodacom) haitofunguka regardless computer yako kuwa Online sababu sisi Internet zetu tunazotumia wame Block hizo port forwarding na hicho unachokua unajaribu kutembelea maana yake ni web server inayo listen connections kwenye port 80!

Ila kama upo kwenye broadband internet waweza fanya port forwarding kwenye router yako e.g ukitaka pc yako iwe web server itabidi uhakikishe Port 80 iwe forwarded waweza kucheki hilo katika tovuti ya canYouSeeMe Open Port Check Tool
na hili litawezekakana iwapo utajaribu access hiyo web server kwenye local area network.

kama utaitaji watu wengine nje ya network yako ku acess URL inakubidi kulipia huduma za static IP adress ambayo sasa hii ukiwa nayo nahisi inakua imesajiliwa kwako kuna probability ya mtu kumjua mmiliki wa hiyo ip

Ila kusema eti upate details za namba ya simu ya mtumiaji hicho kitu hamnaga labda Internet service provider kwenye logs zao wanaweza ona IP adress fulani ilitumiwa na mtu fulani mda fulani ila nafikiri its challenging!
wakuu,
mi nilikua nabadili ip kwa kutumia proxifier.
ila siku hz nikiweka ip kwenye proxifier nazozitoa kwenye site kama xRoxy, freeiplist etc.. zote znagoma.
msaada kwa hili
 
Mkuu mimi nimecheki ya kwangu imenipa hadi location kwenye map. Yani mtu akitaka kunipata ni rahisi sana. Je kuna njia za kuzuia mtu asikuone?
Kama unatumia kifaa chenye GPS, utakua umekiruhusu kutumika kuonesha sehemu ulipo.
 
Mkuu IP inayotumika internet ni ile uliopewa na ISP wako, mfano Tigo, we unasearch IP IPI? kujua IP yako just google what is my ip

na kibongo bongo IP tunashare sio kila MTU ana yake
Mkuu mimi sijakuelewa vizuri.
Nachojua kila kifaa kina identity yake.
Sasa wakati nimeconnect na wife ndo nikaona hizo device connected na IP zake.
Au siko sahihi mkuu?
 
Unapokua connected kwenye internet unakuwa assigned private IP address kutoka kwa ISP wako.
Ukitaka kujua ip address yako unayotumia kwa mda huo katika computer yako fungua command prompt (CMD) na kuandika ipconfig hapo ndo utaweza kujua ip address ambayo unaitumia.
Kumbuka hii private IP address ambayo umepewa kuitumia kwa muda haiwezi kutumika kutuma request kupitia internet. Ili uweze kurequest services over the Internet unahitaji uwe na public IP address. Hapa namaanisha hivi mfano kwa computer yako umefungua facebook.com sio kwamba IP address ya computer yako ndo imerequest webserver za Facebook la hasha bali ni IP address ya ISP wako.
Kwa hiyo hata kama utagoogle kujua IP address utaletewa IP address ya ISP (global address) wako ambayo inatumika kuforward na kureturn request ya computer yako.
Kwa hiyo ni sahihi kabisa kutoiona IP address yako ulivyogoogle.
Je mkuu siwezi tumia hii IP ya computer yangu nijue details za kifaa changu?
Nini sababu hasa za IP ya service provider kuwa public na isiwe hiyo ya kifaa chako?
Na hiyo IP address nayopewa na service provider ni permanent au ni ya muda tuu? maana nakuwa nabadilisha vifaa mara nyingi, mara kwenye simu, desktop, n.k
 
Back
Top Bottom