itagata
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 218
- 77
habari za jioni wanajukwaa,
Ni miezi miwili sasa imepita toka nilipoibiwa simu zangu kwa wezi kuvunja dirisha na kuchukua simu mbili pamoja na TV, pamoja na kupeleka IMEI number polisi, bado sijapata uelekeo wa kupata vitu vilivyoibwa. tafadhar naomba msaada kwa mtu mwenye uelewa ambae anaweza nisaidia nikapata simu zangu pamoja na TV kupitia IMEI namba.
Asanteni
Ni miezi miwili sasa imepita toka nilipoibiwa simu zangu kwa wezi kuvunja dirisha na kuchukua simu mbili pamoja na TV, pamoja na kupeleka IMEI number polisi, bado sijapata uelekeo wa kupata vitu vilivyoibwa. tafadhar naomba msaada kwa mtu mwenye uelewa ambae anaweza nisaidia nikapata simu zangu pamoja na TV kupitia IMEI namba.
Asanteni