Kabelwa JF-Expert Member Joined Mar 19, 2015 Posts 678 Reaction score 196 Oct 7, 2016 #1 Wakuu Nina jamaa yangu ana Simu yake Tecno m3 kila akiweka laini inagoma kusoma zaidi laini ya tigo tatizo ni nini!
Wakuu Nina jamaa yangu ana Simu yake Tecno m3 kila akiweka laini inagoma kusoma zaidi laini ya tigo tatizo ni nini!
Job Richard JF-Expert Member Joined Feb 8, 2013 Posts 3,875 Reaction score 2,201 Oct 7, 2016 #2 Kabelwa said: Wakuu Nina jamaa yangu ana Simu yake Tecno m3 kila akiweka laini inagoma kusoma zaidi laini ya tigo tatizo ni nini! Click to expand... imeshazimwa hiyo TCRA wapo macho
Kabelwa said: Wakuu Nina jamaa yangu ana Simu yake Tecno m3 kila akiweka laini inagoma kusoma zaidi laini ya tigo tatizo ni nini! Click to expand... imeshazimwa hiyo TCRA wapo macho
mikumiyetu JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 1,312 Reaction score 947 Oct 7, 2016 #3 Itakuwa ya promotion hiyo mkuu
gray hacker Member Joined May 20, 2013 Posts 36 Reaction score 12 Oct 16, 2016 #4 Mambie ailete ofcn tecno kariakoo opposite na msimbazi police